Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Supp haina huruma aise nilipokua chuo tokea nianze mpaka namaliza nilipata SUPP moja ya Economics ilikua ivi tulikua na madame m moja anatufundisha Economics alikua mpole, sio muongeaji...
8 Reactions
130 Replies
19K Views
  • Poll
Sorry guyz mm nimemaliza form 4 na nimepata 1.7 NECTA with A tisa na B moja ila nataka kuwa doctor and sitaki kwenda A level because naogopa physics na Biology itaniangusha and sitoweza kupata...
1 Reactions
6 Replies
157 Views
Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei? Msaada wanaujua hili suala.
1 Reactions
8 Replies
365 Views
Serikali kupitia TAMISEMI imetoa fursa kwa Wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023 kuongeza au kufanya marekebisho ya machaguo mapya ya tahasusi (combination) baada ya kuongezwa kwa tahasusi mpya 49...
11 Reactions
158 Replies
11K Views
A
Anonymous
VYOO Katika Shule ya Msingi Rubale iliyopo kijiji Businde Kata Businde Wilaya ya Kyerwa Mkoani kagera vimekataa na kujaa kitu kinachofanya wanafunzi kukusaidia vichakani wazazi wamechagishwa hela...
1 Reactions
2 Replies
99 Views
Je, sheria ya elimu ya juu Nchini inamruhusu mtu kumiliki shahada mbili katika tahasusi mbili tafauti yaani niwe na degree ya Civil engineering kutoka UDSM halafu niende zangu CBE kuchukua...
0 Reactions
7 Replies
403 Views
Hivi kati ya vyuo tajwa hapo juu kipi kinanoa vizuri wanafunzi kinadharia na vitendo katika kozi za engineering?,hasa Electrical engineering.
0 Reactions
55 Replies
34K Views
wakuu yeyote ambaye hajajua wapi kachaguliwa weka form IV index number yako hapo http://cas.tcu.go.tz/2/admitted_applicants.php
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kujua kuhusu hali ya ubora wa chuo cha Kampala International University kwa sasa, maana hapo miaka ya nyuma nliskia kashfa nyingi kuhusu hiki chuo.
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu ule msemo wa usikosee kozi ya kusoma unanitesa nipo njia panda je kozi ipi nzuri ya afya ya kusoma kati ya hizi :-radiology, pharmacy au medical lab
3 Reactions
20 Replies
410 Views
Bonjour Kuna hii kozi Ina itwa Digital marketing Naomba maelezo ya kina kuhusu hii kozi, Nawezaje kujiajiri? Soko lake lipoje?
3 Reactions
14 Replies
539 Views
Hivi hiki chuo kinadahili watu wa aina gani na waliofaulu vipi? Au div four wote wanaishi huko?
2 Reactions
6 Replies
308 Views
Wana JF Nina shida ya kujua chuo gani kinafundisha maswala ya broadcasting kwa upande wa technician. Radio transmitters, links na vingine vyote
0 Reactions
1 Replies
118 Views
Wakuu tunaomba kujua kama madaraja ya mserereko mwezi March na April yatekelezwa kwa waliokidhi vigezo.May mosi ibakaribia!
2 Reactions
5 Replies
397 Views
Habari za muda huu wanaJF, ni kijana wenu nimeleta Uzi huu tushare kwa pamoja, hivi inakuaje mtoto anafika hadi level ya sekondari kidato Cha kwanza hajui kusoma yaani haelewi chochote, na je...
1 Reactions
10 Replies
250 Views
Nataka kuomba nafasi za kusoma shahada ya kwanza katika fani za afya cchuo cha mbarara university,utaratibu ukoje kwa wanafunzi wa kitanzania?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habarini, nina swali nimemaliza clinical medicine mwaka huu nina GPA ya Tano. Nataka kujiendeleza MD bahati mbaya nafasi za MD Serikalini kumejaa na private siwezi kumudu ada, nauliza mwakani...
4 Reactions
166 Replies
9K Views
Naomba wakuu angalau nipate hata pa kuanzia maana nimesoma diploma katika hii course lakini sina hata connection ya kazi yoyote hii imekaaje please msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
222 Views
Habarini ndugu zangu, mwenye kujua au mwenye ushuhuda wa uwezekano wa kupata scholarships kusoma nje ya nchi kwa sisi wenye GPA chini ya 2.8, mfano mimi nina GPA ya 2.6 level ya degree, je...
3 Reactions
55 Replies
9K Views
Wanabodi, Kwa maoni yangu, kitendo cha NECTA kutunga mtihani ambao siyo ili kuwakomoa "watu fulani " kulikopelekea wanafunzi kufeli vibaya ili kujustify hao kina "fulani" ni wajinga!, na...
8 Reactions
237 Replies
23K Views
Back
Top Bottom