Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Mimi ni mdau mwenye mtoto anayesoma katika Kitengo cha Elimu Maalum katika Shule ya Msingi Msimbazi Mseto, nimeamua kujitokeza na kuzungumza kwa uchungu mkubwa kwa sababu kinachoendelea shuleni...
0 Reactions
6 Replies
245 Views
Naombeni ushauri ndugu,ni coz ipi ya maji nzuri ambayo nikimaliza chuo nikafanya recategolization naweza pata ahueni ya maisha.. Wale wa kafanye biashara pliz sitaki...coz now nataka kusoma tu kwanza
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Kwa ambae amekwama kupata Avn number , kwa ajili ya application nixext kwa 0622569980 Nikuelekeze free
0 Reactions
11 Replies
132 Views
Anonymous
Halmashaurii ya Nsimbo, Mkoani Katav kuna Shule ya Sekondari yenye jina la aliyekuwa Mbunge wa zamani wa wilaya hiyo, inaitwa Anna Lupembe Secondary, hii shule wanafunzi wa kidato cha kwanza...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Wanafunzi na baadhi ya walimu katika upande wa afya wanatoa tuhuma dhidi ya viongozi watatu wa chuo ambao ni Liberatus Phillip (Mkuu wa Chuo upande wa Afya), Sylvester Mgeta (Mtathmini Ubora) na...
1 Reactions
8 Replies
167 Views
Naomba course mzur pale Mwalimu Nyerere
0 Reactions
2 Replies
104 Views
Sijawahi kuona mifumo mibovu kama ya hawa NACTVET wameweka almanac lakini hio almanac hawaifati kabisa tunahitaji mabadiliko makubwa kwa uongozi wa NACTVET tumechoshwa na kona kona. Hadi sasa...
1 Reactions
1 Replies
94 Views
Kuna mada niliweka kuwa na mashaka na elimu ya sasa niliweka JF. Moderator utaweka. Elimu ya tanzania sasa mtoto kafaulu mfano PCB ila ukiangalia tokea nyuma background na maswali una muuliza ni...
4 Reactions
3 Replies
182 Views
Kwa anaehitaji Avn number karibu nikuelekeze 0622569980
0 Reactions
1 Replies
106 Views
Ukosefu wa maji katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) umeendelea kuwa kero kubwa kwa wanafunzi. Tunalazimika kutumia muda mwingi kusaka maji badala ya kusoma kwaajili ya UE na mitihani mingine, huku...
0 Reactions
2 Replies
118 Views
Anonymous
Tunaomba mtusaidie kupaza sauti kuna shule huku Mbezi Makabe inaitwa Safi Primary School, watoto wa darasa la nne wanatoka saa moja usiku mpaka wafike nyumbani ni saa 2 usiku. Asubuhi wanafuatwa...
3 Reactions
9 Replies
217 Views
Kijana anataka kuwa vet (daktari wa wanyama) anataka kusoma bachelor of agriculture science halafu mwaka wa tatu achague livestock production, je baada ya hapo anaweza kutambuliwa kama daktari wa...
1 Reactions
6 Replies
134 Views
Niliposikia D.I.T wamefungua tawi la Mwanza nikaona kile kilio cha watu wa kanda ya ziwa kukosa chuo cha sayansi kwa muda mrefu kimejibiwa. Nilitegemea kuzikuta zile kozi kuu kama Telecoms, Civi...
7 Reactions
37 Replies
3K Views
Mnasoma kutumia magroup study. Mnatafuta material kupitia Ai. Huu ninuzembe na na hakuna mtakacho kipata uelewa wenu bado unakuwa ni mdogo sana. Fuateni uashauri wa Prof wa kujisomea kwanza na...
3 Reactions
13 Replies
228 Views
Habari wenzangu 🙏 Naomba ushauri wenu. Nataka nikasome Bachelor of Information Studies na mwezi wa 10 naanza. Je yupo aliyesoma kozi hii? Experience yake vipi? 1. Mnaajiriwa wapi kwa sasa? 2...
0 Reactions
0 Replies
78 Views
Anonymous
Wakuu, Kuna ndugu yangu wangu la 7 ndo anarudi shule leo karudi saa 1 usiku. Muda wa kutoka shule ni saa 10 lakini hawa la 7 wanakalishwa hadi saa 1 usiku Nilivyouliza kwanini wanabaki hadi...
1 Reactions
10 Replies
176 Views
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema Mtaala ulioboreshwa ulioanza kutekelezwa Januari 2024 una ulinganifu wa viwango vya kimataifa, hivyo kuwataka walimu...
0 Reactions
3 Replies
118 Views
Shule ya Sekondari Morogoro (Kidato cha Tano na Sita) inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa mabweni kutokana na ongezeko la idadi ya wanafunzi. Baadhi ya wanafunzi wanalazimika kulala chini...
1 Reactions
0 Replies
83 Views
nasikiasikia tu mkemia ila sijajua ni mtu wa aina gani na inatakiwa usome masomo gani ili uwe mkemia.. tafadhali mwenye kujua anijuze zaidi au kama kuna mkemia humu aseme sehemu alizopitia hadi...
0 Reactions
91 Replies
21K Views
Na waliounga mkono kupita kwa wazo hilo wawe Kuni. Si kwa tabu hii, dah!! Najiuliza mara elfu elfu walichowaza.
2 Reactions
12 Replies
266 Views
Back
Top Bottom