Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Je, unatafuta shule ya awali yenye viwango vya kimataifa, mazingira salama, walimu wenye uzoefu na elimu inayomjenga mtoto wako kwa mafanikio ya maisha? Karibu Sprouts Preschool, iliyopo Mindu...
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Declaration of interest, Sijasoma undergraduate Udsm, Nimeishi pale kwa miaka kadhaa miaka ya mwishoni mwa 1987 mpaka Mwanzoni mwa miaka ya 1997 sio permanent bali kwa kuingia na kutoka tu, Mara...
6 Reactions
48 Replies
5K Views
Habari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania 1. Special (Vipaji maalumu) 2. Technical (Ufundi) 3. Boarding (Bweni kawaida) 4. Teule (shule...
15 Reactions
219 Replies
16K Views
Anonymous
Mimi ni mzazi wa mwanafunzi anayesoma katika shule yenu. Ninaomba kuwasilisha hoja yangu kuhusu malipo ya Shilingi 90,000 yaliyotakiwa kwa ajili ya masomo ya ziada kipindi hiki cha likizo...
1 Reactions
3 Replies
138 Views
Chinese Government Scholarship (CSC Scholarship), is the one of the world’s largest fully funded international scholarship programmes. Sponsored by the Chinese Government through the China...
2 Reactions
4 Replies
409 Views
Anonymous
Katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kuna wanafunzi ambao tulisaini makubaliano ya ada kulipwa kupitia HESLB, lakini fedha hizo zilirudishwa HESLB. Tulipowasiliana na HESLB, tuliambiwa...
1 Reactions
7 Replies
131 Views
Anonymous
Kipengele Cha Mdhamini kwenye mfumo wa kufanya application kwa mikopo wanafunzi wa Vyuo. Kuna utaratbu wa kutumiwa OTP kwa namba ya simu ya mdhamini kisha ijazwe kwenye mfumo wa maombi ya mkopo...
0 Reactions
2 Replies
112 Views
Wakuu kwema! Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu kuna appk hizi mbili muhimu kwenye uwanja wa elimu yaani Microsoft word PowerPoint presentation Nimekaa nikajiuliza Ms unaweza kuandaa nondo...
0 Reactions
2 Replies
73 Views
Anonymous
Tunaosoma mwaka wa kwanza katika City College Mwanza tunaleta malalamiko yetu kuhusu ucheleweshaji wa kadi za bima ya afya, licha ya kwamba tulilipa ada ya bima tangu mwezi Novemba 2025. Hadi...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kampala, Kampasi ya Gongolamboto, tunaomba mamlaka husika kuchunguza usimamizi wa fedha za Serikali ya Wanafunzi. Kila mwanafunzi huchangia TSh 20,000 kwa mwaka kwa...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
Baadhi ya Wanafunzi UDOM wamekwama kwenye issue ya usajiri na hii ni kutokana na mfumo wao wenyewe kuna muda unakuwa mzito ukiomba ktu kinachelewa muda mwengine control numbers zinakuja mbili...
1 Reactions
1 Replies
91 Views
Mimi ni mwanachuo ninasoma bachelor of science in chemistry mwaka wa pili ila sioni future katika hii kozi kutokana na ugumu wa ajira kwa hii kozi naomba ushauri wenu
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Julai 3, 2026, Mdau aliandika “Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tuliingiziwa Boom (fedha za mkopo) mara 2 kimakosa, wametumia TAKUKURU kutuweka mahabusu, kwani hayo ni makosa yetu...
3 Reactions
15 Replies
354 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na TISEZA @invest_in_tanzania na @sydf_tz , kimeendelea kuwajengea wanafunzi uwezo wa ujasiriamali na uwekezaji kupitia programu ya Public Lecture –...
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Anonymous
Shule ya Msingi Mlingano, Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga kuna uhaba wa madawati, watoto wetu wanakaa chini, majengo mapya yamejengwa ila hakuna madawati, madarasa yamejengwa mwaka juzi 2024...
3 Reactions
17 Replies
368 Views
Kuna huyo mshikaji, amemaliza form four 2013, sasa alikua anataka kwenda chuo sasa diploma hapa zenji, Kwa bahati mbaya alipoteza vyeti vyake, na mwaka huu anataka anze mwaka wa kwanza diploma in...
2 Reactions
29 Replies
290 Views
Licha ya jitihada za Serikali kuboresha mazingira ya kujifunzia nchini, wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kipande iliyopo Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa Wanafunzi wanaendelea kusoma katika mazingira...
1 Reactions
19 Replies
425 Views
Habari za leo? Kwa miaka zaidi ya 13 nimekuwa memba ndani ya JF nimeona na kupata msaada mkubwa wa mawazo toka kwa memba wenzangu asanteni sana. Kuna kijana wangu wa kiume amemaliza kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
Anonymous
Ndugu wanajamii, Naomba kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu utaratibu uliowekwa na chuo chetu wa kutoza penalty ya shilingi 50,000 kwa kila awamu ya ada inayochelewa kulipwa. Ada ya chuo ni...
1 Reactions
4 Replies
160 Views
NACTVET (NACTE) huwa wanatoa Award Verification Number (AVN) kwa watu waliomaliza Diploma au Advanced Diploma. Namba hiyo hutumika kwenye admission mbalimbali, ikiwemo za vyuo vikuu kwa wanaotaka...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Back
Top Bottom