1. Bachelor of Cyber Security (IAA)
2. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (ARU)
3. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (MUCE)
4. Bachelor...
1. Bachelor of Cyber Security (IAA)
2. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (ARU)
3. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (MUCE)
4. Bachelor...
Habari.
Tuwasaidie wadogo zetu waliomaliza form six mwaka huu wanaotarajia kwenda vyuoni mwaka 2025/26
Karibu Kwa kutaka degree useless ambazo zitampotezea muda na Wala hasizisogelee kusoma...
Ukisoma bachelor of science in chemisty au in biology ni lazima ujekua mwalimu wa hayo masomo husika au unaweza piga ishu nyingine kutokana na hizo course?
Kuna kozi ya moja kwa moja kusomea uanakemia? Vipi kuhusu vigezo vya kusoma kozi hio? Ni vyuo gani vinahusika? Na vipi kuhusu ajira zake? Na kwa nini siisikii kozi hii na hali wanakemia wapo...
Habari wakuu.....mim ni mkemia nipo hapa kwa ajili ya kuitumia taaluma yangu ya ukemia na uwezo wangu wa kufundisha mim ni mwanafunz wa chuo mwaka wa 2 naenda course ya b.chem lakini pia niko na...
Tanzania inajiandaa kuzindua mabadiliko makubwa zaidi katika sekta ya elimu katika kipindi cha miongo kadhaa, kwa kuanzisha mafunzo ya vitendo (internship) ya mwaka mmoja chini ya usimamizi kwa...
Mimi ni Mkazi wa Kijiji cha Makurunge kilichopo Kata ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, kero yangu ni uendeshaji mbaya wa Shule ya Sekondari Makurunge.
Shule inaendeshwa kikatili sana...
Mara oh mwehu wew unapost pumba tu na Hauna mchango wowote jeiefu folamu..haya sasa mzigo hua wa statistics na wale wa data analysis!!.
Bureeeee kabisaaaaa bureeeeeeee!!!!!
Wakuu kwems?
mimi ni mwl kwa 10 years now, (accounts and Business) nawaza ipi itanipa faida, kusoma CPA au kuongeza masters + PhD? ipi inaweza kunipa faida kwa sasa.
niko government schools...
Tumetembelea shule ya Ivumwe high school kuzindua mradi wetu mpya wa swahili family youth future and leadership empowerment program
TUTAKUA NA MASHINDANO YA DEBATE PAMOJA NA MDAHALO NA MSHINDI...
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha utaratibu wa wanafunzi wa mwaka wa tatu kufanya utafiti (research) na kuufanyia utetezi (defence) katika muhula huu.
Hata hivyo, wanafunzi...
Tunahitaji msaada hapo NACTVET Mikocheni unaenda unakaa siku nzima unaambiwa tu kuwa mtandao unasumbua, watu wanahitaji AVN Number, Transcript za matokeo na shida zingine pia zinazohusu huduma za...
Kero yangu kubwa kuhusu NACTVET ukiwapigia simu hawapokei na inapotokea wamepokea hawaelekezi vizuri, wanafanya kazi kama vile wamelazimishwa.
Yaani kila ukipiga simu ni kama vile hawataki...
Nina malalamiko yangu kwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kuhusu huduma ya mawasiliano kwa wateja.
Kumekuwa na changamoto kubwa ya kutopokelewa simu...
Asee mimi nakwazika sana kwenye kufanya application ya kuomba transcript kwanza wameweka namba ambazo ukipiga hazipokelewi na zikipokelewa hakuna anayeongea.
Pili, kwenye mfumo ukiomba Control...
Ni kwa muda mrefu sasa wanafunzi wa Udaktari Bingwa wa Mifupa Bugando wamekuwa wakipitia mazingira magumu pamoja na kufelishwa makusudi katika idara yao bila uongozi wa chuo kuchukua hatua, ilhali...
Natumaini mko salama.
Ninaandika kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu Chuo Kikuu cha St. Augustine University of Tanzania SAUT kuhusiana na fedha za ada nilizolipa ziada kiasi cha Tsh 500,000 na...
Za muda huu ndugu zangu poleni na majukumu ya siku ,Kwa anaefahamu utaratibu wa kupata mkopo tena kwa mwanafunzi aliesitishaga masomo kwenye degree akiwa mwaka wa kwanza sasa anataka kurudi chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.