Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habarini ndugu zangu, mwenye kujua au mwenye ushuhuda wa uwezekano wa kupata scholarships kusoma nje ya nchi kwa sisi wenye GPA chini ya 2.8, mfano mimi nina GPA ya 2.6 level ya degree, je...
3 Reactions
55 Replies
9K Views
Wanabodi, Kwa maoni yangu, kitendo cha NECTA kutunga mtihani ambao siyo ili kuwakomoa "watu fulani " kulikopelekea wanafunzi kufeli vibaya ili kujustify hao kina "fulani" ni wajinga!, na...
8 Reactions
237 Replies
23K Views
Ninaomba mnisaidie kunitofautishia kati ya Creditors na Debtors, hizi terms nimeshndwa kuzielewa vizuri. Hata nimejarbu ku-google lakini sijaweza kutofautisha. Asanteni.
1 Reactions
16 Replies
18K Views
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana Najaribu...
23 Reactions
742 Replies
103K Views
Wasalaam. Tangu nikiwa chuo ilikuwa hairuhusiwi. Nikaja kwenye professional examination ilikuwa hivyo. Hata wakati nafanya CPA na ACPB na kisha CPSP niliona wakikataza. Swali linajieleza...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
Habari. Kwa Wale wenye mpango wa kusoma afya. Naomba nitaje course zisemi zinaajira Ila kwa mwenye upeo wa mbali hizi course zina fursa Sana hasa upande wa afya. Course hizo ni. 1. BIOMEDICAL...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimwalim shule yamsingi cheti.. Natafta mwalim wakubadilishana kituo. Aje mwanza sengerema (Buchosa) nije Dodoma wilaya yeyote, Tanga wilaya handeni korogwe kilindi na Tanga mjini, mkoa was pwani...
0 Reactions
5 Replies
236 Views
Habari wandugu, Je kwa level gani ya Elimu ya Automobile Engineering (namaanisha Certificate, Diploma au ni lazima iwe Bachelor Degree) mtu anaweza kufanya yafuatayo:- Kufanya Diagnosis...
0 Reactions
1 Replies
223 Views
Nimeona kashfa ya Noelbillions nikaona bora nije na ninachokijua maana serikali ya CCM imekaa kimya toka enzi za Ontario. Ingawa kuna aina mbalimbali za kashfa za utapeli katika uwekezaji. Katika...
2 Reactions
4 Replies
605 Views
Kama kuna mtu anayeijua course ya radiology vizuri, faida zake na hasara, je ni nzuri kwa kusoma.
0 Reactions
19 Replies
14K Views
Habari,wadau wa Jf, Nlikua nauliza je mtoto aliyepata 1 ya 9 ,na ana ufaulu wa A-chemistry,B-physics na B- mathematics ,anaweza kuchaguliwa Shule za vipaji maalumu(special schools) kidato Cha...
6 Reactions
47 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo X hapa jijini Dar Es Salaam, nikisomea degree ya Information Technology. Kiukweli Information Technology maarufu kama IT ni Interesting Course, hii...
2 Reactions
4 Replies
306 Views
Wakuu habari za muda huu. Nina kijana mtoto wa ndugu yangu yuko kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Serikali (Kata), nahitaji kumuhamisha kwenda shule za vipaji maalumu za Serikali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini za mchana wadau wa JF, Jamahaani naomba kujuzwa Kama Kuna chuo chochote cha maendeleo ya jamii kinachotoa certificate online? Mimi nimemaliza chuo cha maendeleo ya jamii mwaka...
0 Reactions
6 Replies
356 Views
Na sio hii kitu elimu ya dini, yaaaani serikali inafikia hatua kutilia mkazo tahahusi yza kidini wakati masuala ya umuhimu kama hapo juuu mtuu unakutana nayo secondary taifa tungekuwa...
1 Reactions
1 Replies
113 Views
Habari wadau... Kijana wangu amemaliza form four mwaka 2023 na ufaulu wake ni- Civ-D Hist-C Geo-D Kisw-C Engl-D Bio-C B/math-F Je? ni elimu ipi itamfaa Kwa upande wa FANI au TAALUMA.
1 Reactions
10 Replies
268 Views
Kama kichwa cha mada kinavyoeleza,naombeni wanajukwaa mnifahamishe chuo gani kinatoa certificate ya hiyo course na fee structure imekaa je?. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
392 Views
Habari zenu wakuu..natumaini mko poa..ninaomba ushauri kuhusu combination ya science kwa matokeo haya necta form 4. Phy.D, Chem.C, math.C, Bios.C, Geog.C.
1 Reactions
23 Replies
2K Views
A
Anonymous
Shule ya sekondari BUJINGA iko Tukuyu mkoa wa Mbeya wazazi tumeambiwa tuanze kuchangia sh. 60000/= kwaajili ya kambi kidato cha nne.. Hii ililetwa kama agenda ktk kikao kilichoitishwa na walimu...
3 Reactions
37 Replies
876 Views
Nisaidieni jamani, Nimetumiwa mzigo kutoka Londoni na kampuni la NAPAREX COURIER COMPANY. Aliyenitumia mzigo amesema amekosa kampuni ya kusafirisha mpaka Tanzania. Hiyo kampuni inaleta mzigo...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom