Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Fikiria miaka 7 shule ya msingi.Miaka 6 secondary na mwezi mmoja JKT. Hapa kwenye chuo inategemea ila miaka 3 na kuendelea kulingana na taaluma. Total:7+6+3=miaka 16 yupo shuleni. Nchi zenye...
1 Reactions
4 Replies
128 Views
Vijana wa six mnakazi ya kufungua nyuzi kila kukicha mnaulizia kozi hii ntapata kwa matokeo haya. Wale wenye DIVISION 2 NA 3.NJE YA NCHI KUTAWAFAA ZAIDI COMPETITION YA NDANI NI NGUMU NYIE KUPATA...
1 Reactions
0 Replies
107 Views
Anonymous (54df)
Wanachuo wa mwaka wa kwanza radiology kutoka chuo cha nkinga institute of health sciences wameambiwa walipe shilingi Laki mbili ya field kwenye account ya chuo halaf wakienda field wanajitegemea...
1 Reactions
1 Replies
203 Views
Wanafunzi wa Sauti Mwanza wakisifia chuo chao, unaweza kuhisi unakosa kitu cha kipekee, kuna kipindi walikuwa wanajitutumua hadi kujilinganisha na UDSM, UDOM, MZUMBE, n.k. nilikuwa nadhani ni...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Huenda si kwamba hana uwezo. Wakati mwingine mwanafunzi anahitaji mwalimu anayemfuatilia kwa karibu, anayegundua changamoto zake na kumsaidia kuelewa masomo hatua kwa hatua. Elite home tuition...
4 Reactions
4 Replies
121 Views
Anonymous
Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa Chuo cha Sheria Tanzania (Law School of Tanzania), naomba kupaza sauti kuhusu uamuzi wa chuo kutangaza kuwa wanafunzi wote wa Kundi la 42 pamoja na Kundi la 40...
2 Reactions
16 Replies
349 Views
Jamani naomba ushauri nimesoma form six PCM kwa ufaulu wa EED kuna watu wamenishauri kwamba naweza kusoma degree kwa baadhi ya vyuo binafsi je ni kweli.?
5 Reactions
29 Replies
489 Views
Mabasi ya chuo hayana seatbelts, na inatokea safari za masafa marefu kuenda kwa mfano Tanga, Moshi, Pwani, kitu ambacho sio salama Wanafunzi tunatamani waboreshe hayo mabasi au wabadilishe...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
Wito kwa Uongozi wa DIT kuhusu usalama wa wanafunzi Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Kwanza (Bachelor) katika Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT). Ningependa...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Hoja ya awali ya Mdau ~ Shule ya Sekondari Kipande, Wilayani Nkasi - Rukwa haina madawati, Wanafunzi wanakaa chini Mtakumbuka tarehe 15/07/2026 mtandao wa Kijamii wa JamiiForums ulitoa taarifa...
0 Reactions
6 Replies
154 Views
Anonymous
Kuna tabia ya VETA kipindi cha kutunga na kusahisha mitihani, wanawatumia wastaafu na watumishi wasiokuwa wa VETA. Mfano: mtihani wa mwezi wa sita wa Level III uliofanyika 2026: kuna kituo x...
0 Reactions
5 Replies
120 Views
Anonymous
Wanafunzi tuliomaliza masomo ya Diploma tunaomba msaada kuhusu changamoto ya kucheleweshewa vyeti vyetu. Kila tunapofika chuoni kufuatilia vyeti, tunaambiwa kuwa mashine ya kuchapisha au kutoa...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za...
2 Reactions
36 Replies
559 Views
Habari zenu wakuu. Nimesoma HGL na katika kutafuta chuo nimeona TIA kuna kozi ya Bachelor in Economics and Finance. TCU nna kigezo cha kusoma lakini Sina msingi mzuri wa Mathematics, hivyo...
2 Reactions
11 Replies
242 Views
Anonymous
TUNAOMBA SERIKALI UFANYIKE UCHUNGUZI HURU KUPITIA TCU KWA WANAFUNZI WANAOSOMA UDAKTARI BINGWA MIFUPA (ORTHOPEDICS ) BUGANDO Ni kwa muda mrefu sasa wanafunzi wa udaktari Bingwa mifupa Bugando...
0 Reactions
3 Replies
393 Views
Ajira mpya Walimu wilaya ya Babati vijijini hatujalipwa hela za kujikimu tangia tuingie kazini tuna miezi mitano mpaka Leo na hutujui hatima yetu. Tumihoji wanasema HELA haijafika lakini Afya...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
Dear Professionals and Learners, In today’s competitive job market, strong computer skills are essential for career growth and business efficiency. DarITcare Training Centre (DTC) offers...
2 Reactions
9 Replies
786 Views
Mtoto wangu anasoma shule ya sekondari MGULASI, iliyopo kata ya CHAMWINO, MANISPAA YA MOROGORO. (Anaingia kidato cha pili) Wakitumia mtaala mpya, ukianza rasmi mwaka 2025. Mtoto wangu alichagua...
23 Reactions
64 Replies
2K Views
Tunawafikisha Walimu Bora Mahali Ulipo – Tanzania Nzima! Je, unataka kuongeza ufaulu wa mtoto wako au kujifunza ujuzi mpya ukiwa nyumbani? Elite Home Tuition Services ndiyo suluhisho sahihi...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Je, unatafuta shule ya awali yenye viwango vya kimataifa, mazingira salama, walimu wenye uzoefu na elimu inayomjenga mtoto wako kwa mafanikio ya maisha? Karibu Sprouts Preschool, iliyopo Mindu...
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Back
Top Bottom