Fikiria miaka 7 shule ya msingi.Miaka 6 secondary na mwezi mmoja JKT.
Hapa kwenye chuo inategemea ila miaka 3 na kuendelea kulingana na taaluma.
Total:7+6+3=miaka 16 yupo shuleni.
Nchi zenye...
Vijana wa six mnakazi ya kufungua nyuzi kila kukicha mnaulizia kozi hii ntapata kwa matokeo haya.
Wale wenye DIVISION 2 NA 3.NJE YA NCHI KUTAWAFAA ZAIDI COMPETITION YA NDANI NI NGUMU NYIE KUPATA...
Wanachuo wa mwaka wa kwanza radiology kutoka chuo cha nkinga institute of health sciences wameambiwa walipe shilingi Laki mbili ya field kwenye account ya chuo halaf wakienda field wanajitegemea...
Wanafunzi wa Sauti Mwanza wakisifia chuo chao, unaweza kuhisi unakosa kitu cha kipekee, kuna kipindi walikuwa wanajitutumua hadi kujilinganisha na UDSM, UDOM, MZUMBE, n.k. nilikuwa nadhani ni...
Huenda si kwamba hana uwezo. Wakati mwingine mwanafunzi anahitaji mwalimu anayemfuatilia kwa karibu, anayegundua changamoto zake na kumsaidia kuelewa masomo hatua kwa hatua.
Elite home tuition...
Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa Chuo cha Sheria Tanzania (Law School of Tanzania), naomba kupaza sauti kuhusu uamuzi wa chuo kutangaza kuwa wanafunzi wote wa Kundi la 42 pamoja na Kundi la 40...
Jamani naomba ushauri nimesoma form six PCM kwa ufaulu wa EED kuna watu wamenishauri kwamba naweza kusoma degree kwa baadhi ya vyuo binafsi je ni kweli.?
Mabasi ya chuo hayana seatbelts, na inatokea safari za masafa marefu kuenda kwa mfano Tanga, Moshi, Pwani, kitu ambacho sio salama
Wanafunzi tunatamani waboreshe hayo mabasi au wabadilishe...
Wito kwa Uongozi wa DIT kuhusu usalama wa wanafunzi
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Kwanza (Bachelor) katika Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT). Ningependa...
Hoja ya awali ya Mdau ~ Shule ya Sekondari Kipande, Wilayani Nkasi - Rukwa haina madawati, Wanafunzi wanakaa chini
Mtakumbuka tarehe 15/07/2026 mtandao wa Kijamii wa JamiiForums ulitoa taarifa...
Kuna tabia ya VETA kipindi cha kutunga na kusahisha mitihani, wanawatumia wastaafu na watumishi wasiokuwa wa VETA. Mfano: mtihani wa mwezi wa sita wa Level III uliofanyika 2026: kuna kituo x...
Wanafunzi tuliomaliza masomo ya Diploma tunaomba msaada kuhusu changamoto ya kucheleweshewa vyeti vyetu.
Kila tunapofika chuoni kufuatilia vyeti, tunaambiwa kuwa mashine ya kuchapisha au kutoa...
Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za...
Habari zenu wakuu.
Nimesoma HGL na katika kutafuta chuo nimeona TIA kuna kozi ya Bachelor in Economics and Finance. TCU nna kigezo cha kusoma lakini Sina msingi mzuri wa Mathematics, hivyo...
TUNAOMBA SERIKALI UFANYIKE UCHUNGUZI HURU KUPITIA TCU KWA WANAFUNZI WANAOSOMA UDAKTARI BINGWA MIFUPA (ORTHOPEDICS ) BUGANDO
Ni kwa muda mrefu sasa wanafunzi wa udaktari Bingwa mifupa Bugando...
Ajira mpya Walimu wilaya ya Babati vijijini hatujalipwa hela za kujikimu tangia tuingie kazini tuna miezi mitano mpaka Leo na hutujui hatima yetu. Tumihoji wanasema HELA haijafika lakini Afya...
Dear Professionals and Learners,
In today’s competitive job market, strong computer skills are essential for career growth and business efficiency. DarITcare Training Centre (DTC) offers...
Mtoto wangu anasoma shule ya sekondari MGULASI, iliyopo kata ya CHAMWINO, MANISPAA YA MOROGORO. (Anaingia kidato cha pili) Wakitumia mtaala mpya, ukianza rasmi mwaka 2025.
Mtoto wangu alichagua...
Tunawafikisha Walimu Bora Mahali Ulipo – Tanzania Nzima!
Je, unataka kuongeza ufaulu wa mtoto wako au kujifunza ujuzi mpya ukiwa nyumbani? Elite Home Tuition Services ndiyo suluhisho sahihi...
Je, unatafuta shule ya awali yenye viwango vya kimataifa, mazingira salama, walimu wenye uzoefu na elimu inayomjenga mtoto wako kwa mafanikio ya maisha?
Karibu Sprouts Preschool, iliyopo Mindu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.