Habari wakuu niende kwenye mada moja kwa moja sijaona umuhimu wa mtu kumaliza kidato cha nne na kwenda kidato cha tano na sita kupoteza muda kwanini isiwe mtu akimaliza kidato cha nne asiende VETA...
Kwa Callender ya Nacte Siku ya tarehe 15 may 2019 ni ufunguzi wa Udahili. Majira ya saa sita usiku 15 may 2019 nilifata utaratibu wote wa Application na kukamilisha nikachagua vyuo vitano...
Nimesikia eti alama za ufaulu ni kama zifuatazo by Ndalichako Bungeni.
A: 85-100
B: 75-84
C: 70-74
D: 61-69
E: 51-60
S: 35-50
F: 0-34
Tusubiri kama ni kweli. Kuna kutu kimejificha ...
Za kushinda wapendwa
Moja kwa moja kwenye maada.
Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana .
My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama...
habari wanajf kuna rafiki yangu kaniambia kuwa hii course co in medicine ipo kwenye mchakato wa kufutwa kabisa nikamuuliza we umesikia wapi akasema ni mwaka...
Wakuuu habari zenu na pole na majukum,Mimi ni mtumishi mwalimu nimesoma Bachelor Degree in Adult Education and Community Development.
Ndugu zangu AFISA UTUMISHI NIMEMUANDIKIA BARUA ANIHAMISHIE...
Habari zenu wanajukwaa
Kunahabari zimeenea hivi karibuni kuwa kuanzia 2019 form 6 watafanya mitihani yao mwezi wa pili(February) badala ya kufanya mwezi wa 5(May) kama wanavyofanya sasa...
Naomba...
Nimemaliza kidato cha NNE mwaka Jana na kupata div 2 na kwa sasa Nina matatizo kiafya sisikii vzuri niende chuo cha afya au niende advance ushauri tafadhalu
Karibuni tukumbushane mambo mbalimbali kuhusu CHUO chetu pendwa cha ufundi ARUSHA TECHNICAL COLLEGE bila kusahau mikazo ya supplementary haswa AUTOMOTIVE DEPARTMENT,ELECTRICAL DEPT na nyinginezo...
Habari Wana Jukwaa,
Jumuiya Ya Wazazi Tanzania Inamiliki Shule Kadha Wa Kadha Ndani Ya Tanzania Zaidi Ya 70,
Ikiwemo
Itende- Mbeya
Ujiji High Schoo- Kigoma
Sangu - Mbeya
Ivumwe- Mbeya
Meta-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.