Fukuza fukuza ya walimu

Msingida

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
9,735
10,814
Hili la Waziri Kassim Majaliwa na Mulugo kuwafukuza walimu wakuu wa Ilboru na namkukwe chunya mbona linatia shaka taratibu za utumishi?Mamlaka zinazo husika mbona zimefunga midomo?Siwatetei wakosaji lakini kanuni na taratibu zifuatwe ilikuweza kuwatendea haki.Bado tunawahitaji walimu ndo maana wizara ya Elimu imetoa mwaliko kwa walimu kutoka nchi za jirani kuja kuwafundisha watoto wetu.Japo nchi hizo zina walimu feki ukilinganisha na hapa kwetu,lakini bado hatuwajali na kuwatendea haki.Tunataka kuleta kasumba mpya ya mawaziri wanaofukuza wafanyakazi majukwaani ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.Mamlaka zinazo husika kutetea haki ya wafanyakazi waingilie kati maswala haya na kuwaburuza mahakamani mawaziri ili iwe fundisho kwa mawaziri hao ambao wanasubiria kuwafukuza watumishi majukwaani.
 
Hili la Waziri Kassim Majaliwa na Mulugo kuwafukuza walimu wakuu wa Ilboru na namkukwe chunya mbona linatia shaka taratibu za utumishi?Mamlaka zinazo husika mbona zimefunga midomo?Siwatetei wakosaji lakini kanuni na taratibu zifuatwe ilikuweza kuwatendea haki.Bado tunawahitaji walimu ndo maana wizara ya Elimu imetoa mwaliko kwa walimu kutoka nchi za jirani kuja kuwafundisha watoto wetu.Japo nchi hizo zina walimu feki ukilinganisha na hapa kwetu,lakini bado hatuwajali na kuwatendea haki.Tunataka kuleta kasumba mpya ya mawaziri wanaofukuza wafanyakazi majukwaani ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.Mamlaka zinazo husika kutetea haki ya wafanyakazi waingilie kati maswala haya na kuwaburuza mahakamani mawaziri ili iwe fundisho kwa mawaziri hao ambao wanasubiria kuwafukuza watumishi majukwaani.

mkuu je umechunguza alichokifanya ndio akasimamishwa kazi?na je kama amefanya jambo lisilohitajika kisheria, apotezewe kwa sababu walimu ni wachache?
 
Back
Top Bottom