Baba advent
Member
- Nov 23, 2011
- 72
- 16
Jamani mi miongoni mwa waathirika wa heslb,kwa kutopata hata cent 1,lakin baada ya kuwaendea heslb ofisin kwao wamesema hivi:
Kwa waombaji waliokosa mikopo yaani majina yao hayapo kwenye web ya bodi pamoja na wale hawajaridhika na kiasi cha pesa ambacho bodi imetoa kwao, wataruhusiwa kukata rufaa kuanzia tar. 1.10.2012,baada ya bodi kuweka utaratibu kupitia www.heslb.co.tz.
Kwa waombaji waliokosa mikopo yaani majina yao hayapo kwenye web ya bodi pamoja na wale hawajaridhika na kiasi cha pesa ambacho bodi imetoa kwao, wataruhusiwa kukata rufaa kuanzia tar. 1.10.2012,baada ya bodi kuweka utaratibu kupitia www.heslb.co.tz.