Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
Wana jf mara nyingi nimesikia malalamiko kuhusu necta ktk usahishaji mitihani kiwango cha sekondari ngazi zote(o-level hadi advance),watahiniwa binafsi wanasahishiwa kwa kiwango cha kufaulu tofauti na watahiniwa walio mashuleni eti kwa sababu ma-pc wanafinywa ili waendelee ku-reseat mara kwa mara kwa maslahi ya wachache ili waendelee kulipia zaidi,naombeni ufafanuzi.nawasilisha