Tetesi:Hivi necta husahisha mitihani kwa mtindo huu?

Kapo Jr

JF-Expert Member
Jan 31, 2011
996
280
Wana jf mara nyingi nimesikia malalamiko kuhusu necta ktk usahishaji mitihani kiwango cha sekondari ngazi zote(o-level hadi advance),watahiniwa binafsi wanasahishiwa kwa kiwango cha kufaulu tofauti na watahiniwa walio mashuleni eti kwa sababu ma-pc wanafinywa ili waendelee ku-reseat mara kwa mara kwa maslahi ya wachache ili waendelee kulipia zaidi,naombeni ufafanuzi.nawasilisha
 
Hiyo ni kweli mkuu zamani wanafunzi wa private walikua na paper 2 au 3 kila somo wakati wa school wanafanya 1 au 2.siku hizi grade A ya school inakua 71%ilhali wa private 81% utashangaa anakandamizwa zaidi
 
Mi sidhani kama kuna ukweli katika 'grading' maana cheti ukiona cha 'private candidates' na 'school candidates' vyeti vyao havina tofauti kwa namna ya kutoa grades za A, B, C, D, F nk kwa O-Level na A, B, C, D, E, S na F kwa A-Level. Tofauti tu nadhani ni kwa vile watahiniwa wasiokuwa mashuleni hawapati alama za kidato cha pili hivo wanafanya ile inayoitwa QT, na kuanzia miaka ya 71 taarifa za maendeleo ya mwanafunzi hazina mchango wowote kwa matokeo ya mwanafunzi.
 
Necta baraza lote lifumuliwe manake ukiangalia wanaorisit ni idadi kubwa sana na wanaopata ni 10 ndani ya 100 au hata 9. Sasa siyo kweli kuwa hawasomi ila ni biashara iliyoko hapo necta na inafanywa na hao katika hilo baraza.
 
Hiyo ni kweli mkuu zamani wanafunzi wa private walikua na paper 2 au 3 kila somo wakati wa school wanafanya 1 au 2.siku hizi grade A ya school inakua 71%ilhali wa private 81% utashangaa anakandamizwa zaidi

hakuna kitu kama hicho mkuu acha kudanganya watu! grade za school na private ni sawa! sema nyie mnaoreseat huwa hamkomai mkifeli mnasingizia eti mmepandishiwa grading!
 
fanyeni utafiti, acheni upuuzi wenu, nawashangaa wanaopinga pia waislam wanaonewa,mimi sio muislam lakini islamic knowledge ni jiwe, wanaopinga wafanye utafiti, wenzetu weupe wanafanya tafit tena kama ni ishu inayohusu maumivu katika imani ya mtu hawafanyi masihala, vita Tanzania kama kule nigeria na liberia inanukia. kisa nyinyi mnaochonga bila tafiti, ni ubishi ubishi tu.
 
Yawezekana kweli ni biashara kwa wanaore-seat ndo wanaofaulu huwa wachache si kwamba hawana uwezo,necta wamewekeza
 
Yawezekana ni ukweli wanabaniwa wazidi kuchangia mfuko wa elimu unajuaa kibongo bongo badget haitoshi kila mwaka, lakini cha kuwashauli hao reseater waendelee kukaza buti huku wakiamini balaza litabana na mwisho wataachia.. kwani kama ipo, ipo tu haina mashindano....!
 
Wenye ukweni shusheni hapa jf tuache kulea jipu laweza lipuka,baraza mbona wanatenganisha paper wakati wanaoreaseat wengi wameongoza paper mbele ya school candidates baada ya necta2 hufeli,siri kwa manufaa yao au wananchi?
 
Hiyo ni kweli mkuu zamani
wanafunzi wa private walikua na paper 2 au 3 kila somo wakati wa school
wanafanya 1 au 2.siku hizi grade A ya school inakua 71%ilhali wa
private 81% utashangaa anakandamizwa zaidi
Wewe ni Bongolala kama jina lako,acha kupotosha umma.
 
Necta baraza lote
lifumuliwe manake ukiangalia wanaorisit ni idadi kubwa sana na wanaopata
ni 10 ndani ya 100 au hata 9. Sasa siyo kweli kuwa hawasomi ila ni
biashara iliyoko hapo necta na inafanywa na hao katika hilo
baraza.
Hamna kumtafuta mchawi,Private Candidates wengi wao ni vilaza.Walishindwa wakati wako shuleni na walimu full time alaf unategemea wafanye maajabu mtaani kwa kujisomea vichochoroni na vichwa vimeshaingia moshi ? Alama wanazopata ndizo wanazostahili wewe kama ulifeli ni ubongolala wako tu.
 
Hamna kumtafuta mchawi,Private Candidates wengi wao ni vilaza.Walishindwa wakati wako shuleni na walimu full time alaf unategemea wafanye maajabu mtaani kwa kujisomea vichochoroni na vichwa vimeshaingia moshi ? Alama wanazopata ndizo wanazostahili wewe kama ulifeli ni ubongolala wako tu.

UKO SAHIHI MKUU.
WAJINGA ni CHAKULA YA WASOMI
 
Kuna umuhimu wa baraza kuwekwa kitimoto watueleze maana haliingii akilini private candidate wengi hupata alama za chini kulinganisha na walizopata wakiwa school candidate.
 
Back
Top Bottom