zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Wana jf naomba mnijulishe mipaka Ya Tanzania kwa Majina na Eneo husika.
Mfano
Tanzania mkoa wa Mbeya umepakana Malawi(Kasumulo) na zambia(Tunduma),
Mwenye kuijua azidi atujuze...
Mfano
Tanzania mkoa wa Mbeya umepakana Malawi(Kasumulo) na zambia(Tunduma),
Mwenye kuijua azidi atujuze...