Mitihani ya UE kusahihishwa TCU.

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,724
19,867
Hivi kwa nini mitihani ya UE isiwe inasahishwa na bodi maalumu kama ilivyo NECTA kwa shule za secodary natamani iwe hivi ili kupunguza unfair zinazotendwa na wahadhili wetu hapa Tz.Unakuta mdhari anajiona kama mwinyi na kufanya aogopwe utafikiri MUNGU mtu nakumbuka kabla ya kuingia chuoni nilipewa maneno ya kunitisha eti "usithubutu kugombana na lecture hata kama kakugongea demu wako" niliogopa sana kwa kweli na nilipoingia chuo niliziona unfair nyingi sana.Je kwa nin wasisahishe UE kule TCU kwa kuapoint wahadhili randomyl kutoka mavyuoni?
 
Wewe nawe, ni "wahadhiri" na sio wahadhili.

Halafu ndio jitu la University, huwa mnaingiaje huko kwa kuhonga au ndio NECTA?

Ndugu kosa dogo sana halitoshi kunidharau kiasi hicho kwanza mi sipo chuoni nimeshamaliza chuo.
 
"Hivi kwa nini mitihani ya UE..." hapa ulimaanisha nini mkuu? Au ulimaanisha University Examination? Kama jibu NDIYO. Je ukitafsrika ni sawa na kusema ..."Hivi kwa nini mitihani ya mitihani ya chuo kikuu..."

Natumaini utakuwa umemaliza chuo kikuu mapema sana kabla ya msimu wa shule za ukata.
 
Kweli JeiEfu is for great thinkers.......ahsanteni kwa kumwelewesha! Yeye anadhani TCU ilianzishwa tu kama idara ianzishwavyo kwenye taasisi? Angekuwa kweli kamaliza chuo na kuelimika usingetoa hoja ya kufikirika kinadharia namna hiyo.
 
Lazima utakuwa umepata sana tabu Chuo ulichosoma kama maneno matatu yote unakosea tuu
 
Yani wewe utakuwa ulikamatwa sana.Na utakuwa ulikuwa unawaponda bure tu,message yenyewe umeandika kwa pupa mtihani ambao una tention inakuwa vipi?Na ungesoma huku secondary kwetu na mimi ningekula kichwa icho:sick::sick:
 
sijaona ndani wala nje ya Tanzania ue kutosahihishwa na lecturer mhusika. Sidhani kama kuna lecturer anaefanya hayo. Tumia vyombo husika sio kuropoka.
 
Ndugu kosa dogo sana halitoshi kunidharau kiasi hicho kwanza mi sipo chuoni nimeshamaliza chuo.

Khaaaaa!!!!! Wanawake wanadegree za pichu sasa na wewe wa kiume yako itakuwa ya...........
 
Ndugu kosa dogo sana halitoshi kunidharau kiasi hicho kwanza mi sipo chuoni nimeshamaliza chuo.

Sijakudharau, nimekwambia kweli, kama msomi wa chuo hutakiwi kufanya makosa ya primary school. Nyie ndio mnaopendelewa na NECTA.
 
Kumbe jf kumejaa walimu wa kiswahili wengi kiasi hiki khaaa...Najutaaa.. kuwafahamu
 
Back
Top Bottom