Wakuu, nikiwa mmojawapo kati ya wale wanaojihusisha na XBINARY kwa siku za karibuni imekuwa ngumu kutoa hela M-wallet. Na hii imetokea baada ya kuwa kwenye matengenezo ila hali hii imeendelea kuwapo hata baada ya matengenezo kuisha.
Hii inaweza kuwa inaashiria nini ? Au ndo kusema tumetapeliwa??!!
Hii inaweza kuwa inaashiria nini ? Au ndo kusema tumetapeliwa??!!