Habdavi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 788
- 798
Habari wana JF.
Katika pita pita zangu nimekutana na fursa za uwekezaji katika kilimo, nikaona nilete hapa ili kwa wale watakaoweza kuhudhuria kongamano hili waweze kutuwakilisha watanzania. Ni fursa nzuri inayoweza kutuwezesha wajasiriamali wadogo kupitia mpango wa PPP (i.e Private Public Partnership) Ninaamini wenye mamlaka wataliona hili kama fursa kwa watanzania.
Katika pita pita zangu nimekutana na fursa za uwekezaji katika kilimo, nikaona nilete hapa ili kwa wale watakaoweza kuhudhuria kongamano hili waweze kutuwakilisha watanzania. Ni fursa nzuri inayoweza kutuwezesha wajasiriamali wadogo kupitia mpango wa PPP (i.e Private Public Partnership) Ninaamini wenye mamlaka wataliona hili kama fursa kwa watanzania.