Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Dear JF Members, I hope everybody is doing better! Please whenever you are free... I beg you better read the attached Inspirational book, I am sure you will grasp precious knowledge which will...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nadhani kwa wakaazi wa Arusha na vitongoji vyake watakuwa wameshaona kwenye mabango mbalimbali barabarani ama kupitia redio ama magazeti ya kuwa iliyokuwa inaitwa novotel mount meru hotel...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama kuna watu amboa wameshindwa kujiendeleza kama jumuia ni Watanzania!,Pamoja na rasilimali nyingi bado nchi yetu na maskini ,mijadala mingi inayoendelea hapa nchini ni kujadili watu.Kila siku...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, Nina idea ya kuanzisha business, mostly ku negotiate for other companies, bundle volumes, try and see sehemu kwenye cost savings for companies and small businesses as well. I am not living...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tanzania has once again been forced on the defensive following another financial scandal involving donor funding to the country. This time, the government has been forced to refund money that...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MARA nyingi tumekuwa tukishuhudia baadhi ya wafanyakazi wa kampuni au viwanda wakiingia katika migomo na migogoro kutokana na madai ya kutaka kuboreshewa haki zao mishahara ikiwemo. Migomo hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Any serious partner who can bring machine and other equipment for extraction of quarries is invited. Our site is located in lugoba area with a huge deposit content. Thank you.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wafanyabiashara wataka umeme wa Buzwagi Imeandikwa na Raymond Mihayo, Kahama; Tarehe: 13th December 2010 @ 23:20 WAFANYABIASHARA wa viwanda na mashine za kukoboa mpunga, wilayani Kahama mkoani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwaka jana nilisafiri kwenda US kuwasalimia rafiki zangu wanaoishi huko, bahati nzuri nikapata rafiki mpya. Kwenye maongezi aliniambia angependa kuwekeza Tanzania. Alipo niomba ushauri nikamwambia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wanajamii, Naomba mwenye kufahamu ni wapi naweza kupata msaaada wa matengenezo ya vifaa vy IBM (servers, printers, desktops, laptops) hapa jijini Dar es Salaam. Natanguliza shukrani Obuntu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mgawo wa umeme wasitishwa Imeandikwa na Halima Mlacha, Morogoro; Tarehe: 8th December 2010 @ 23:59 ANGALAU Watanzania wanaotumia nishati ya umeme watakuwa na ahueni sasa baada ya Shirika la...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Dk Chami: Wafanyabishara ‘feki' wageni ondokeni nchini Friday, 10 December...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Saccos ni njia sahihi ya kumwokoa mjasiriamali wa kawaida. Mpango huu wa kuweka na kukopa unasaidia sana sana watu walio wengi. saccos zilianzishwa nyingi lakini siku hadi siku zinakufa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani kuna mtu kaniunganishia dili la Madini ya Crystal white, je naweza kuanzia ngapi kama ofa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Just chek Welcome to TripleClicks! for online shopping. And check out with paypal, visa or mastercard. Blög Sicä | Welcome to Blog Sica!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Please call me 0719672328 is real business no longolongo visit Potion 21 - Herbal Remedies for Diabetic Wound and Skin Diseases for details to join call me please
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari hii ya kusikitisha imo kwenye gazeti la Majira la leo ambapo tunahabarishwa ya kuwa kumbe tangia tuifunge mitambo ya Mtera ya kuzalisha umemem tulienda kuuchapa usingizi na sasa ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Najariblu kupiga namba ya simu iliyopo kwenye visa card ya crdb, customer service HOTLINE lakini kuna muda inakuwa busy. ukijaribu baadae itaita lakini haipokelewi. na ukitulia useme upige tena...
0 Reactions
1 Replies
11K Views
Hivi, Muarobaini wa tatizo la umeme, au nisema ugonjwa wa umeme Tanzania ni nini? ni solution gani ambayo sisi wana JF hapa tunaweza kuwashauri viongozi wetu ambao kila siku lazima waje humu JF...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Grand Slam tennis champion Martina Navratilova amelazwa hospitali nairobi baada ya kupanda kupata matatizo ya maji kwenye mapafu baada ya kupanda mlima kilimanjaro. Ukisoma habari yote utaona kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom