Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kitendo cha kubadilisha notes ni sawa na kuongeza fedha katika mzunguko huu wa kasi ndogo uliopo sasa. Na hii inahashiria kutokuwa na usawa katika Pato la Taifa, thamani ya bidhaa pamoja na huduma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau kuna tetesi kuwa leo BOT wanazindua noti mpya. Wenye data zaidi watujuze!
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Hivi majarida ya matangazo kasma Advertizing Dar,Buy&Sel nk yanasajiliwa wapi,MAELEZO au TLS.? Wenye kujua wanijuze,hapa nataka kupata ISSN number
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ggggg
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi nilikuwa ktk maduka ya kubadilisha fedha za kigeni (Bureau de Change) maeneo ya posta, nimeshangazwa sana jinsi madafu ya bongo yalivyokomaa dhidi ya US$, nilitegemea ningebadili kwa Tsh...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nasikia BoT wanataka kuanzisha noti nyingine, tena ni noti ya shilingi elfu hamsini? Kama ni kweli hii ni dalili ya nini kwenye uchumi na dhamani ya sarafu yetu?? Msaada wajameni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zamani SIDO ilikuwa inasimamia na kuendesha viwanda vidogo vidogo ambavyo kwa kweli ni muhimu katika kutia chachu ya maendeleo ya Viwanda vya ndani. Kwa bahati mbaya katika pitapita zangu, sioni...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Nawatahadharisha wafanya biashara wote wanaotumia bandari ya Tanga au boda ya Horohoro kupitisha bidhaa zao.Na kama ukitaka kufilisika basi puuza onyo hili Kama wote mnavyojua utaratibu wa TRA...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
GrEattHinkErs, Inanikera sana kuona Foleni kutokea kisongo inaanzia Kilombero na barabara ni naona ni Finyu, Inanikera Sana kuona Foleni inaanzia kijenge nikitokea Njiro na hakuna uwekekano wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wale jamaa wa ngoma za kienyeji kitoka Botswana wameletwa tena! kutafuta fedha za Watanzania .Hiki ni kielelezo kingine cha uduni wa fikra zetu!Ukichunguza kwa makini kinachofanywa na hili kundi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wazee wadai Mkukuta haujawasaidia Thursday, 16 December 2010 21:03 Brandy Nelson, Morogoro MPANGO wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umasikini Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hospitali ya Dk Khan yashindwa kulipa Sh 127 milioni Thursday, 16 December 2010 20:46 Hassan Mohamed UONGOZI wa hospitali ya Dk Khan jijini Dar es...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
By Barry FitzGerald | December 15, 2010 RUSSIA'S state atomic energy corporation, Rosatom, has moved on ASX-listed Tanzanian uranium developer Mantra Resources with an agreed $1.16 billion...
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Dec 15, 2010 The European Investment Bank (EIB) Wednesday announced a US$135 million loan to co-finance a new 667-km high voltage transmission line being built in Tanzania to improve power...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bank ya NMB imeanzisha kilimo account ambayo imezinduliwa mwenzi wa kumi na moja katika mkoa wa mtwara. CEO wa nmb amesema account hiyo ya kilimo itakuwa na interest ya 6% na itakuwa haina...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Je ni wabunge wagapi wanavaa suti Made in or by Tanzaniam? Je ni ni Viongozi wangapi wapo tayari kutengenezesha viatu vipya japo pair mbili kwa mkwa kwa mafudi wetu Je ni viongozi wangapi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wafanyakazi wa Zantel hapa Arusha wameanza biashara chafu ya kulangua moderm za internet kwa kuwatumia wafanyabiashara binafsi akiwemo mmiliki wa duka la SOUND and VISION au maarufu kama kwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mimi ni mfanya biashara nilikuwa nataka kufungua duka la jumla kibaha,wenyeji wangu wakanieleza kuna kabila la wangweno,hawataki mtu mwingine kufanya biashara kama sio mgweno watakuloga,kwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Serikali yafilisika • Miradi ya maendeleo, ahadi za JK zakwama na Betty Kangonga SERIKALI inakabiliwa na upungufu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom