PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 56
BANK YA NMB inatarajia kuwa chini ya CEO mpya ambaye anaitwa Mark Wiessing
, ambaye kabla ya kuja NMB alikuwa managing director wa ZANACO BANK, Bank ya biashara huko zambia, Mark wiessing anarajiwa kuanza kazi tarehe 15/11/2010.
CEO aliyemaliza mkataba wake bwana BEN CHRISTEEANE, anatarajiwa kurudi kwao UHOLANZI, baada ya kumkabizi kazi bwana Mark Wiessing.
, ambaye kabla ya kuja NMB alikuwa managing director wa ZANACO BANK, Bank ya biashara huko zambia, Mark wiessing anarajiwa kuanza kazi tarehe 15/11/2010.
CEO aliyemaliza mkataba wake bwana BEN CHRISTEEANE, anatarajiwa kurudi kwao UHOLANZI, baada ya kumkabizi kazi bwana Mark Wiessing.