Tiper-kiwanda cha kusafisha mafuta Ghafi(crude oil) na kupata diezel,petroli,mafuta taa,mafuta ya viwanda(fuel oil,industrial diezel) na gesi ya kupikia kilichopo kigamboni ambacho kilikuwa kinaendeshwa kwa ubia serikali/Agip hakijafanya kazi nadhani zaidi ya miaka 30 na tathmini iliofanywa miaka ya 90 imeonesha hakiwezi tena kufanya kazi kwakuwa kilitelekezwa na asilimia kubwa ya mitambo imeharibika na kuliwa na kutu.
Ukisema Tiper bila maelezo vijana wengi wa umri wa awamu za Mkapa/Kikwete hawawezi kukuelewa au kudhani unaongelea magari ya kubeba mchanga.