Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
1. Hisa ni nini?
Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa...
Habari wakuu,
Ni dhahiri kuwa Jukwaa letu la Biashara limesheheni mada nyingi zenye miongozo kwa wanaoanza biashara na hata wanaohitaji msaada kwa biashara zao.
Kutokana na mada nyingi kuwa na...
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU:
UTANGULIZI
Kuanzia...
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread...
IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima.
HIZI NI MOJA YA...
Institutional investors (institutional) are organizations that pool money and invest with depositors' money. They may include:
hedge funds,
mutual funds,
credit unions,
banks, etc.
• Q2 and Q3...
Nauliza hili nikiwa na sababu.
vita ya Ukraine imeibua mengi sana!!Yote tisa kulikua na hili la utakatishaji pesa ambao mji wa London kwa makusudi ulikua umetoa muanya kwa matajiri wengi hasa...
First and foremost I would like to share with you some gist of Real Estate (A,B,C, Ds in Real Estate Issues).
Due to the deterioration in local economic conditions, such as unemployment because...
‘DSE has adequate liquidity to host telecoms’
The DSE Chief Executive Officer, Moremi Marwa.
The DSE Chief Executive Officer, Moremi Marwa.
BUSINESS
SHARE THIS
AddThis Sharing Buttons
0...
Written by Nico Hines
October 1, 200
It was the rock that secured a companys financial health but the legendary Gem of Tanzania has lost its sparkle forever.
Wrekin Construction, a...
There is a secret psychology to money. Most people dont know about it, thats why most people never become financially successful. A lack of money is not the problem, it is merely a symptom of...
Mussa Juma, Arusha.
UPUNGUFU wa umeme katika maeneo mengi nchini, unaweza kutoweka kabisa kama Tanzania itaanza kutumia madini ya Uranium na kutengeneza nyuklia ya kuzalisha umeme. Kaimu...
Yasiin Mugerwa
Kampala
Taxpayers in Uganda have cause to worry about the safety of their contributions after Transparency International, a global anti-graft watchdog, said in a new report that...
Dodoma. Changamoto zinazowakabili wakopaji wadogo katika taasisi za fedha nchini, ni riba kubwa inayotozwa na mabenki na taasisi zake, Bunge lilielezwa jana.
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi...
Return import tariff on cement or we close down
The influx of cheap cement imports into the East African region could see workers like these above laid off. File picture
By MIKE MANDE...
Kuna watu wanadai Uganda ina mafuta kama Saudi Arabia, nasema ndio Uganda kuna mafuta lakini sio kiasi cha kufikia Saudi Arabia. Soma habari hii.
Angelo Izama
Kampala
In a mixed set of...
Mwandishi Wetu, Namtumbo
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal, amesema mradi wa uranium katika Mto Mkuju, wilayani Namtumbo, Ruvuma utakuwa wa manufaa...
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti na Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge
KWA UFUPI
Hata hivyo, katika majibu ya Serikali, Waziri Mgimwa alisema Serikali imeanza kulipa na...
Shortage of new bank notes has been cited as one of challenges facing customers when accessing money at the Automated Teller Machines.
CRDB Bank Managing Director Dr Charles Kimei revealed this...
The Export Processing Authority (EPZA) has partnered with the Tanzania Ports Authority (TPA) and Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) to establish the Mtwara Freeport Zone by...
WAKUU,
MIONGONI MWA VITU VYENYE TIJA NI KUOMBA USHAURI KWA JAMAA NA MARAFIKI
PINDI UPATAPO IDEA YENYE TIJA NA ENDELEVU.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Nadhani hakuna asiyejua kuwa...
Wana-JF habarini za weekend,
Mimi ni mteja wa CRDB Visa na nimeweza kuifungua hii card yangu kutumika online.
Pia nimejisajili paypal. Cha ajabu ni kwamba karibu mara ya tatu sasa nimenunua vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.