Utaendelea kuwa maskini, kwasababu wewe ni maskini wa mawazo; haingii akili eti mpaka unapata milioni 80 hujui cha kufanya, labda umekwapua mahali;siwezi kushiriki kumwendeleza mwizi (fisadi). Kanuni ya biashara, huwa linaanza WAZO, halafu MPANGO, baadae MTAJI. Sasa wewe uliwezaje kutafuta pesa kabla ya kuwa na mpango. Mahitaji ya watu katika eneo husika ndio hugeuzwa kuwa fursa ya biashara.
Utaendelea kuwa maskini, kwasababu wewe ni maskini wa mawazo; haingii akili eti mpaka unapata milioni 80 hujui cha kufanya, labda umekwapua mahali;siwezi kushiriki kumwendeleza mwizi (fisadi). Kanuni ya biashara, huwa linaanza WAZO, halafu MPANGO, baadae MTAJI. Sasa wewe uliwezaje kutafuta pesa kabla ya kuwa na mpango. Mahitaji ya watu katika eneo husika ndio hugeuzwa kuwa fursa ya biashara.
Kaka unaua namna hiyo.Utaendelea kuwa maskini, kwasababu wewe ni maskini wa mawazo; haingii akili eti mpaka unapata milioni 80 hujui cha kufanya, labda umekwapua mahali;siwezi kushiriki kumwendeleza mwizi (fisadi). Kanuni ya biashara, huwa linaanza WAZO, halafu MPANGO, baadae MTAJI. Sasa wewe uliwezaje kutafuta pesa kabla ya kuwa na mpango. Mahitaji ya watu katika eneo husika ndio hugeuzwa kuwa fursa ya biashara.
Duka la vifaa vya ujenzi linalipa, duka la vitu vya watoto pia linalipa sana.Ndugu wana Jf,nimebahatika kupata million 80.Naomba msaada wa biashara gani nifanye ili nisiwe tena Maskini.
Nunua kiwanja kwa sh. mil 15 sehemu ambayo iko accessible vizuri na gari Dar es Salaam (I suppose uko Dar). Jenga ghala la kuhifadhi nafaka kwa sh. mil 30. Chukua mil 20, ingia shamba, nunua mchele wakati wa msimu uhifadhi kwenye ghala. Msimu ukiisha anza kuuza whole sale and retail.
Ndugu wana Jf,nimebahatika kupata million 80.Naomba msaada wa biashara gani nifanye ili nisiwe tena Maskini.
Dah! Fungua duka la vifaa vya ujenzi. Au kampuni ya kimtandao.