Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,126
- 62,117
Kuishi miaka mingi ni utajiri tosha kwa mwanadamu, kuliko yule aliyekuwa na utajiri mkubwa na kabla ya kufikisha miaka 70 akakata moto.
Wapo wanaosema, ili kufikisha miaka mingi inakulazimu kila unapopiga hatua fulani za kimaisha, jitahidi kuishi maisha ya kipato cha chini, kuanzia ulaji, mazoezi, kujichanganya na jamii n.k ili kulinda afya ya mwili wako.
Kuliko kwenye friji kujaza nyama na vyakula vya makopo, ni bora uweke matembele, mgagani, mchicha n.k
Mwili ukishaanza kuwa mzito, mashavu kujaa, kitambi kuongezeka, miguu kujaa, makalio au mapaja kunenepa, mwanaume kuishi kama mwanamke n.k ni ishara za awali za kutokufikisha miaka 100.
Ni muhimu kubadili mwenendo wa maisha, ili kuishi miaka mingi.
Wapo wanaosema, ili kufikisha miaka mingi inakulazimu kila unapopiga hatua fulani za kimaisha, jitahidi kuishi maisha ya kipato cha chini, kuanzia ulaji, mazoezi, kujichanganya na jamii n.k ili kulinda afya ya mwili wako.
Kuliko kwenye friji kujaza nyama na vyakula vya makopo, ni bora uweke matembele, mgagani, mchicha n.k
Mwili ukishaanza kuwa mzito, mashavu kujaa, kitambi kuongezeka, miguu kujaa, makalio au mapaja kunenepa, mwanaume kuishi kama mwanamke n.k ni ishara za awali za kutokufikisha miaka 100.
Ni muhimu kubadili mwenendo wa maisha, ili kuishi miaka mingi.