JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni kweli hawaeleweki? Ni kweli wao wanadhani wana haki zote? Ni kweli wao wanajiona daraja la kwanza? Ni kweli hawaambiliki?
5 Reactions
25 Replies
294 Views
Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)? Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika? Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri...
16 Reactions
356 Replies
3K Views
  • Closed
Jana nililewa kwa stress za kupoteza pesa. Kwenye reply zangu za jana nilikosea sana ni ulevi tu. Kweli nisameheni wale nilio wakera🙏
48 Reactions
392 Replies
4K Views
After Reading that, this 👇 comes to my mind, hopefully I won't be disappointed.
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Ndiyo dawa yao..Block them wabaki peke yao!
1 Reactions
9 Replies
164 Views
Sijakosea jukwaa nimeona hizi pongezi nizitolee huku Sasa ni rasmi maandiko yetu ndani ya JamiiForums yatatambuliwa chanzo chake ni JamiiForums Tanzania Sasa unapoperuzi kwenye majukwaa na mada...
6 Reactions
4 Replies
142 Views
Nyie mliojipata acheni sifa za kijinga za kujiposti na misosi kwenye mitandao ya kijamii. Hali ya maisha sasa hivi kwa wengi ni ngumu chakula ni shida halafu kwa maksudi mnaturingishia hiyo...
8 Reactions
12 Replies
277 Views
Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu. Saa 2 usiku hadi saa 12 asubuhi. Usingizi hauji kabisa , sijui wagonjwa wapo hali gani
3 Reactions
13 Replies
221 Views
I don't like bat
12 Reactions
204 Replies
2K Views
Leo nimeamka kichwa kiko ndwii kutokana na mvinyo wa wikiendi ulioanza ijumaa, nikasema ngoja niingie Google, niandike jina langu nione linatokea kwenye majukwaa yapi huko duniani. Ile naingiza...
5 Reactions
29 Replies
231 Views
Mara nyingi humu JF nimeona wanaume ndio wanaoandika sana mada zinazohusu wanawake, na wakati mwingine inafika hatua unaona kama kuna complaints nyingi kuhusu wanawake. Leo nataka kuuliza jambo...
13 Reactions
125 Replies
2K Views
Happy Birthday Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica 🎉🥳 Kwa niaba ya wana jamvii Tuna kutakia afya njema, furaha, mafanikio na maisha yenye baraka tele Thank you for your great contribution and for...
35 Reactions
59 Replies
1K Views
  • Closed
Seran una lolote la kutuambia? Its your day! Jiachie Nawe mpenzi msomaji karibu ujumuike kwenye hili vibe! NB: Hakuna kukerana hapa! Tupo kwa ajili ya chitchat na furaha yetu sote.. Don't cross...
15 Reactions
109 Replies
1K Views
Wakuu! Me mwenzenu nawachukulia ninyi kama ndugu zangu. Sasa nimeona niazishe uzi huu kwa ajili ya salamu na kujuliana hali. Ukiingia tu JF, unapita kwanza hapa. Kuna member mna marafiki humu, kwa...
9 Reactions
165 Replies
2K Views
Hii mada ni kuhusu ndugu zetu hapa JF ambapo hufikwa na majanga fulani kimaisha na kuona kila kitu ni kibaya Hujihisi kutengwa, kutothaminiwa na hata kutopendwa.. Akichanganya na stress binafsi...
23 Reactions
162 Replies
2K Views
Cycles zako JF ni zipi? Kumbuka ukikaa karibu na uaridi(waridi) utanukia.. Lakini pia ndege wafananao huruka pamoja Una team na nani? JF Elites? Wambea? Wazee wa connection Ma bazazi?😀 Wala bata...
15 Reactions
212 Replies
2K Views
Wewe kwenu ilikuwaje?
9 Reactions
42 Replies
650 Views
Hakuna mtu mwenye pesa zake, elimu yake au resources zake atakubali kuoa mke au kuolewa na mume mwenye sura mbaya. Siku hizi wasomi wapo kila kaya, ili utoboe kupata kazi ya maana lazima...
7 Reactions
61 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…