Tunafaamu kifo kipo na hakiepukiki, kila mmoja ataondoka kwa wakati wake uliopangwa na mwenyezi Mungu.
Leo nimekuja kumtembelea rafiki yangu mstaafu mwenye miaka inayokadiriwa 75, katika...
Wana bodi Kuna ule utapeli unaofanyika anakuja mtu amepaka sijui madawa sijui wanasema Anatembea na majini ila anachofanya anakuongelesha ukianza kumjibu tu unajikuta unapoteza ufahamu kiasi Cha...
Nikiwa naelekea kuadhimisha kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa, leo mimi Madame B niko online muda huu hapa MMU.
Naomba uniulize swali lolote kunihusu mimi,
Iwe ni:
Masuala ya Mahusiano,
Masuala...
Age go? no problem
Imetembezwa kilometers nyingi! usijali
Imetumika kama shortcut hivyo wamepita wengi.. Ufumbuzi umepatikana
Imepokea kila size sasa imepwelepweta? Usihuzunike tena!
Kwetu pwani...
Nafikiri huu sio uzi wa kwanza ila leo natoa shukurani zangu za dhati pia kwa alieanzisha JF na akatuletea mungu amuongezee akili zaidi kutoka kwa baadhi ya members humu.
Akili za baadhi ya...
Katika hili naomba niwataje kabisa
Kwa members wote hasa Seran na min -me sitaki posts zangu kuwa mnazilike, mnafanya notification dashboard yangu kujaa sana na kujaza server za JF yetu tukufu...
Mzuka wana jamvi ?
Katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa member ngluli wa Jf GENTAMYCINE na Rais wa Marekani Donald Trump ni watu ambao wanafanana sana tabia .
1. Wote hata uwe rafiki yake vipi...
Mvuta bangi alikua anaongea na mlaji miraa.
Mlaji miraa akauliza mvuta bangi kama india ni mbali na tanzania.
Mvuta bangi akasema ni karibu kwa sababu mkubwa wangu mhindi huja na baiskeli kila...
Nimekuwa nikijiuliza sana.
Nikiweka vocha ya 10,000 napata 10,000 exactly.
Sasa hawa makampuni ya simu wanapataje faida kama wanarudisha hela ile ile?
Au kuna kitu sielewi hapa?
Naomba...
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza!
Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza!
Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na...
Nimeikata mwanzo kwasababu ina baadhi ya maneno ambayo hayapendezi kusikika kwa umma
All in all inanikumbusha kijana wangu moja alikua na uwezo wa kipekee, yeye alikua anauwezo wa kuelewa lugha...
Mzuka wana jamvi ?
Wanawake wengi wanapenda mitandao kama Instagram, TikTok , Fb nk ambayo haina mambo magumu ni showoff kwenda mbele .
Lakini Jf pisi Kali anabishana na secretarybird kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.