Niliambiwa na wazazi wangu kuwa nilizaliwa April 30, 1991
Na Leo nimetimiza miaka 35
Mimi ni mme na baba, Nina watoto 2
Ni mfanyabiashara wa nafaka, mkulima na mfugaji
Nitakie heri na nishauri...
PUSSY ilikuwa ni CAT/PAKA
SEX ilimaanisha GENDER/JINSIA
BITCH ilikuwa FEMALE DOG/MBWA JIKE
DICK ilikuwa ni NAME/JINA
BANG ilikuwa SOUND/KISHINDO CHA SAUTI
RUBBER ilikuwa ERASER/KIFUTIO
ASS alikuwa...
Hapa uliza swali lolote la kijinga halafu uone utakavyojibiwa jibu la kipuuzi.
Warning: Hakuna kutukanana!
Mfano: Hivi picha maarufu ya jiji la Dar inayoonyesha askari kashika bunduki, yule ni...
Kuna mapengo hayazibiki… 🥹
Umewahi kukaa mbali na mtu au watu uliowapenda sana? Ilikuchukua muda gani kukubali kwamba wapo mbali, na pengine inaweza kuchukua muda kuwaona tena au hata kutowaona...
Mtu aliyesoma fani ya ‘sales and marketing’ na akaiva vizuri na akajitambua amesoma nini; huyu ni tajiri tayari, hatakiwi kuajiriwa.
Kama ataajiriwa, kuna uwezekano wa yeye kutokujua amesomea...
alichofanya ni hivi: alianza kumnyanyua ndama akiwa bado mdogo kabisa alivozaliwa, akawa anamnyanyua huyo ndama kilasiku.
siku zilivyokua zinaenda ndama anazidi kukua. nayeye uwezo wake wa misuli...
Katika harakati zangu za relationships nimekutana na variety ya wasichana wa kibongo tofauti tofauti ila pia nimepeperusha bendera katika mataifa tofauti.
Nimekuwa na msichana mmoja wa kizungu na...
Kutokana na uzee wangu, watoto wangu wote walishaondoka nyumbani na wako kwenye miji yao wakijitegemea. Wengine wameoa na wengine wameolewa.
Changamoto iliyopo kwa hawa watoto, kwa sasa...
Elimu yako, inakusaidiaje au itakusaidiaje katika kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine?
Sema ukweli, achana na mambo ya kujimwambafai na wingi wa vyeti.
Karibu kwa mjadala.
Wachagga kuanzia mwaka 2027 , wamekubaliana watakuwa wanatumia majina ya kiasli yenye maana na kuachana na haya majina ya Mabeberu yasiyo na maana.
Wazazi Gen Z wamekuja na majina yasiyo na maana...
Mjinga anatakiwa apuuzwe...
Unakuta mtu anajibizana na fool na kurushiana matusi hadharani..sasa hapo wote tutawaona wajinga.
#A fool is fool never change.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.