Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 365,172
- 843,304
Hii mada ni kuhusu ndugu zetu hapa JF ambapo hufikwa na majanga fulani kimaisha na kuona kila kitu ni kibaya
Hujihisi kutengwa, kutothaminiwa na hata kutopendwa.. Akichanganya na stress binafsi huamua kuweka uzi wa kuaga mazima.. Lakini changamoto zikipita mnamuona tena jukwaani
Mimi huwa nawafananisha hawa ndugu na wale mabinti wanaoenda airport na mabegi wakijifanya wanasafiri ughaibuni na kupiga mapicha meengi kisha kuchukua bora na kurudi nyumbani
Leo nimemuona aliyetuaga last year yupo hapa kimyakimya😀
Hujihisi kutengwa, kutothaminiwa na hata kutopendwa.. Akichanganya na stress binafsi huamua kuweka uzi wa kuaga mazima.. Lakini changamoto zikipita mnamuona tena jukwaani
Mimi huwa nawafananisha hawa ndugu na wale mabinti wanaoenda airport na mabegi wakijifanya wanasafiri ughaibuni na kupiga mapicha meengi kisha kuchukua bora na kurudi nyumbani
Leo nimemuona aliyetuaga last year yupo hapa kimyakimya😀