Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu. Usiombe uishi karibu na kanisa la walokole
Tumsifu Allah
Allah Akbar !Tumsifu Allah
Mapepo lazima yakuvuruge.Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu. Saa 2 usiku hadi saa 12 asubuhi. Usingizi hauji kabisa , sijui wagonjwa wapo hali gani
Kumbe Ustaadh Malaria 2 ni mfugaji mzuri wa nguruwe wa kisasaPunguza Makasiriko