Angalia ni nani unammudu.. Huyo ndie kibonde wako.. Hata lama ni zaidi ya mmoja wachakue wachachuke!
Ila hakikisha una msuli.. Hakikisha una kifua kipana! Hakikisha unawamudu..!
Naanza na Atoto...
Namalizia mwezi wangu ndani ya chitchat nisepe zangu kulekule..!
Kila mtu kila mahali ana MSIRI wake kwenye kila Jambo.
Je wewe MSIRI wako ni nani JF?
Una hakika hata akilewa hawezi kufunguka?
Panda usafiri wa wengi baada ya kazi utakutana na harufu za kila aina.. Na zinakera hasa.. Na zikiwa combined unaweza kupata kinguzumkuti cha kiafya
. Midomo inayonuka
. Vikwapa
.Janabha
. Pad za...
Pepo la umbea/udaku (mafaili buku)
Pepo la kukataa ndoa
Pepo la kujichua
Pepo la uchawa
Pepo la upigaji
Pepo la uzushi
Pepo la ushoga
Ongezea yaliyosahaulika
NB: pepo la ushirikina, uchawi na...
Get ready..! Get ready
The Soft-Steel Balance: Critics say she is "soft-spoken," but in the forum, we know Lamomy is like a velvet glove over an iron fist. She’ll tell you "Good morning" so...
Tabasamu ni nini? 😊
Tabasamu mara nyingi huonekana kama ishara ya furaha
Kuna wakati mtu hutabasamu kutokana na jambo zuri alilofanyiwa labda mguso wenye upendo, busu tamu la hisia kuona mazingira...
Hii ni fedheha kubwa kwa vijana Marasta wa Arusha kuutweza utu wao kwa ujira kiduchu wa Dola toka kwa watalii. Inakuaje kijana unajidhalilisha kisa pesa/pombe?
NB: kazi (Halali) kipimo cha utu...
Ukimuita tu dada mwenye makebo makubwa uanshangaa yeye lazima aje wa kwanza utafikir umemuita yeye, kila sehemu unakuta anamshika mkkono ila tu auze nae sura na kumpa ushauri wa kila mwanaume...
CHAPA YA NDANI KWA NDANI😋
Kwenye kuta za faragha, penye sitara na siri, chanjo chini ya ushaga,
pasipo jicho la siri,Si jeraha la mahaba, bali pendo la fahari,
Chale yako kalioni, alama...
Kuna hatua za kiakili ambazo mtu hupitia kabla hajapiga kelele ile ya kitaa ya “HEBU SHUSHA HAPO!” ndani ya daladala, na honestly zinastahili kufanyiwa utafiti wa kisayansi.
Kwanza kabisa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.