loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 2,274
- 5,204
Nyie mliojipata acheni sifa za kijinga za kujiposti na misosi kwenye mitandao ya kijamii.
Hali ya maisha sasa hivi kwa wengi ni ngumu chakula ni shida halafu kwa maksudi mnaturingishia hiyo misosi.
Unakuta ni kuposti tu unafakamia minyama. Kuna mantiki gani kuwadharau wenye njaa?
Kuna haja gani sasa? Ni ulimbukeni tu.
Kuleni hizo nyama choma na mipilau yenu faraghani huko hata kama hamvunji sheria ni swala tu la staha na common sense.
adriz de mbusii
Hali ya maisha sasa hivi kwa wengi ni ngumu chakula ni shida halafu kwa maksudi mnaturingishia hiyo misosi.
Unakuta ni kuposti tu unafakamia minyama. Kuna mantiki gani kuwadharau wenye njaa?
Kuna haja gani sasa? Ni ulimbukeni tu.
Kuleni hizo nyama choma na mipilau yenu faraghani huko hata kama hamvunji sheria ni swala tu la staha na common sense.
adriz de mbusii