JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwa babu Loliondo kuna vituko sana. Chek bob mmoja (mijini ni maarufu kama Sharobaro), akiwa kavalia mlegezo na miwani mikubwa yenye giza, alifika kwa Babu akiwa anasumbuliwa na presha. Ilipofika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa alikuwa na matatizo mengi akaona hana pa kutokea isipokuwa kujitoa maisha. Akapanda ghorofa ya kumi ili ajitupe. Akiwa anachungulia chini, akamwona mtu hana mkono hata anatabasamu, meno nje...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Padre kauliza Waumini, PADRE: Ni kiungo gani cha mwili hupatikana katika sehemu iliyofichama, kina wingi wa unyevunyevu, kinaweza kufanya ndoa iwe imara sana au kuyumba? WAUMINI: Kimya huku...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
umri wa juma wa sasa ni miaka 5 zaidi ya umri wa ally.tafuta umri wa juma miaka mitano ijayo. iwapo jumla ya miaka yao kwa sasa ni 35
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kichaa alikuwa amevaa miwani jicho likawa linamuwasha. Alipokuwa akijikuna akawa anakuna juu ya miwani ndipo dada mmoja akamuambia si uvue hiyo miwani ndio ujikune? Yule kichaa akamuambia "Hebu...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamaa watatu walienda guest.Walipouliza bei ya chumba,waliambiwa ni sh.30000 kwa chumba kimoja.Wakaamua kuchanga kila mmoja sh.10000 wakamkabidhi mmiliki wa guest.Mmiliki wa guest alipofika ndani...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nashanga sana kwamba viongozi wetu wa siri kali asimilia 95 hapa TZ hwamjui Gaddafi. Wanajuwatu kuwa ni raisi wa Libya ila hawamfahamu alivyo. Nashangaa wanapo sema hao western countries wasi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna mzee mmoja alikuta kundi kubwa la ndege,akalisalimia kwa kusema,shikamooni ndege mia,ndege walipaza sauti wakisema sisi sio ndege mia,bali waje kama sisi,waje nusu yetu,waje pia robo yetu na...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Jamani nimemiss sana Rev, hakuna msamaha wa MODs?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
kuna mzee mmoja alikuwa basha lami[mombasa]nzimaa,yani hakunaa kijana ambaye hakuwai kumchokoraa...siku mojaa alimwambia mwanae[mwanangu hapaa kijijini kwetu hakuna kijana ambaye sija...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa, Kama nilivyowaahidi ndio namaliza mazungumzo na rafiki yangu kutoka Eritrea kuhusu "babu" wa huko kwao na shughuli zake. Kimsingi hatofautiani sana na babu wetu huyu wa TZ. Mambo...
1 Reactions
50 Replies
7K Views
Wakuu hii nimeikuta kwenye Blog moja ya Kitanzania Afade Sele akionesha hisia zake juu ya ujanja ujanja wa Mheshimiwa Rais wetu JK. Kwa maelezo yake anaona kuwa JK anakusudia kuleta tofauti...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Zuzu ana ndoto za kumuomba Gadafi aje agombee uraisi mwaka 2015. Hadi leo ni miaka takriban hamsini uchumi umedorora, walala hoi wamekata tamaa. Gadafi katawala Libya miaka 32, kageuza jangwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
haya wanachadema mnataka kutupeleka wapi sasa kwani Mbunge wa wawi Mh Hamad Rashid amesema kuwa nanukuu “Napenda kuthibitisha kauli yangu kuwa wenzetu CHADEMA wana siri nzito na usalama wa Taifa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
A woman and her lover are in the house while the husband is at work. Her nine year old son comes in, and after seeing them making love he hides in the wardrobe and watches them. All of a sudden...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mchambawima Bububu Koani Mwanakwerekwe Kojani Paje Naomba wenzetu wa Zenji watueleze maana ya haya maneno. hasa hilo la Mchambawima.
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Baada ya watu kuleta fujo kugombea KIKOMBE, Babu aliamua kuwapanga kwa mistari. Msitari wa kwanza wenye kansa, walikuwa wachache. Mstari pili walipangwa wa kisukari, wakawa wengi. Mstari wa tatu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
A couple were married and, following the wedding, the husband laid down some rules. "I'll be home when I want, if I want, and at what time I want," he insisted. "And, I don't expect any hassle...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ivii.. Umewahi kujiuliza mtu wa kwanza kugundua maziwa ya ng'ombe alikua anafanya nini na ng'ombe??
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…