kutana na BABU wa Eritrea

kutana na BABU wa Eritrea

Ms Judith

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
2,563
Reaction score
936
Wapendwa,

Kama nilivyowaahidi ndio namaliza mazungumzo na rafiki yangu kutoka Eritrea kuhusu "babu" wa huko kwao na shughuli zake. Kimsingi hatofautiani sana na babu wetu huyu wa TZ. Mambo ya "babu" wa Eritrea kwa mujibu wa huyu rafiki ni kuwa:


1.
Alijulikana kwa jina la Armalakha na alikuwa muinjilisti na mhubiri hodari katika nchi za Ethiopia na Eritrea hata kabla Eritrea haijajitenga kutoka Ethiopia.

2.
Aliwahi kuingia katika migogoro kadhaa na makanisa ya kikatoliki na orthodoxy (amabyo ndiyo makubwa na yanaheshimika sana nchini humo) ya Eritrea na Ethiopia kwa sababu makanisa hayo yalipinga utaratibu wa tiba yake kwa kuhusianisha uganga wake na mafundisho ya biblia.

3.
Mwaka 1996 alianza kudai kuwa mungu amemuotesha mchanganyiko wa madawa asilia ambayo huyachanganya na kuyachemsha na kasha maji yake kuwanywesha wagonjwa wake na makapi ya maji yake kuwafungia wagonjwa wake kwenye mkono wa kuume na kuuning'iniza mkono huo kama POP. Hiyo ni baada ya kusema mungu kamtokea katika ndoto na kumfunulia kuwa maradhi yote yanayowasumbua watu yako tumboni na hutokea mwilini kupitia mkono wa kuume.

4.
Watu wa kwanza kunywa dawa zake walikuwa wakiongea kwa lugha za ajabu na yeye akawa anadai ndizo lugha mpya zilizotabiriwa na nabii Yoeli!
5.
Alidai anatibu magonjwa makuu kama kansa, ukimwi, kisukari na kutoa mapepo ya aina zote kwa dawa zake hizo!

6.
Alidai mungu kamwagiza atibu kwa Nakfa 8/- tu (nakfa ni sarafu ya Eritrea na nakfa moja ni sawa na senti kama 30 za USD)

7.
Alipata umaarufu mkubwa sana na wa ghafla sambamba na kutajirika sana katika kipindi kifupi sana na kulikuwa na shuhuda nyingi sana kuwa watu wengi walipona maradhi yao kwa muda mfupi sana na kimiujiza japo hospitali za Ethiopia na Eritrea hazikuwahi kuthibitisha uponyaji wake hata mara moja!

8.
kutokana na uhasama ulioibika baada ya Eritrea kujitenga na Ethiopia (baada ya eritrea kujitangazia uhuru), alituhumiwa kuwa alikuwa wakala wa intelijensia ya Ethiopia (yaani alikuwa anaipatia serikali ya Ethiopia taarifa za siri za kijasusi) na kufuatia kuandamwa sana na vyombo vya dola aliuawa kwa kupigwa risasi June mwaka 2006.


Hayo ndiyo niliyopata kwa rafiki yangu huyu.

Wapendwa tusiache kuzijaribu kila roho ili tujiridhishe kuwa zimetokana na Mungu. Neno la mungu ni taa na mwangaza wa maisha yetu, liyumulikie kila tuendapo. Amina.

Nawatakia tafakari njema

Glory to God
 
Hahaha umeishiwa hoja unaeta vioja!
 
Hahaha umeishiwa hoja unaeta vioja!

Kaka jamani!!!
Mbona hivyoooooooo!!!
Kaleta mfano wa Babu aliyewahi kutokea.
Mi sioni kosa lake kwa kweli.
Judy endelea kunyamaza Kimya.
Binafsi nashukuru kwa hili pia.
 
heheeeeeeeeeeee, kumbe hapa kwetu ni marudio tu?

mwaka huu kazi ipo!
 
Kaka jamani!!!
Mbona hivyoooooooo!!!
Kaleta mfano wa Babu aliyewahi kutokea.
Mi sioni kosa lake kwa kweli.
Judy endelea kunyamaza Kimya.
Binafsi nashukuru kwa hili pia.

mi kwa kweli ndio maana siku hizi sijihangaishi kuchangia kitu JF. hapa siku hizi pana vimambo vya kitoto kitoto sana. sasa MJ kakosea kutufahamisha yaliyotokea huko pepmbe ya afrika?
 
Hahaha umeishiwa hoja unaeta vioja!

Mkuu
Ndio maana hii sredi imeletwa kwenye Chit Chat muda mfupi baada ya kuanzishwa kwake. Yaani it falls under no category. Ni kwa ajiri ya kuchat tu.

:frown::frown:
 
Naona Mods wameona hizi sredi za babu zimezidi, kila saa Babuuu Babuuu, Babuuu Babuuuu.
Bora zimeitwa Chit Chat sasa tubaki tupumue na Habari za kweli zenye mashiko.
 
Hivi ni waafrika peke yao ndio wanaletewa ufunuo wa kutibu kwa mizizi..?
 
Fabrication at maturity stage!
Wewe ni mbunifu mzuri sana wa michapo eeh?
UmejaRIBU KUIGA kazi za babu na kutwist kidogo ili kuwavuta wapumbavu wakubali eeh?
Habari yenyewe inatoka kwa RAFIKI...who is RAFIKI...rafiki could be anything walking on all four !!!...huh!!!

Halafu hakuna LINK yoyote in connection to that miserable myth!....how low!
Pole wee!....Jaribisha kuja kivyengine!
 
mi kwa kweli ndio maana siku hizi sijihangaishi kuchangia kitu JF. hapa siku hizi pana vimambo vya kitoto kitoto sana. sasa MJ kakosea kutufahamisha yaliyotokea huko pepmbe ya afrika?


Mtu Mmoja humjui huyu MJ hajaanza leo kuleta habari za babu yaani kila akiamka yeye na babu ndo maana watu washamchoka na hata mod kaihamishia hii thread huku kijiweni!!!
 
Kaka jamani!!!
Mbona hivyoooooooo!!!
Kaleta mfano wa Babu aliyewahi kutokea.
Mi sioni kosa lake kwa kweli.
Judy endelea kunyamaza Kimya.
Binafsi nashukuru kwa hili pia.

Dogo hii ni omo unajua!
Tuliza bana.
 
Hivi ni waafrika peke yao ndio wanaletewa ufunuo wa kutibu kwa mizizi..?

Sio, hata watu wa asia na ulaya wanaletewa ufunuo.
Kwa mfano, zazibaar barani asia, kuna mtu mliletewa ufunuo kwamba piga ua, lazima awe makamu wa raisi, hata kama kwa ndoa ya mkeka.
 
Hivi ni waafrika peke yao ndio wanaletewa ufunuo wa kutibu kwa mizizi..?

mkuu, sio afrika pekee, binafsi nimesikia habari za watu kama hao pia barani asia na marekani kusini na nimesikia siku nyingi, so hapa kwetu ni marudio tu, sio habari mpya duniani, ila wanatofautiana kulingana na mazingira yao.

mfano huko Nicaragua, aliwahi kutokea mmoja ambaye alikuwa hatozi pesa kabisa na aliwaambia watu kuwa kuna chemchem ya majimoto ambayo mtu akiyaogwa anarudi kuwa mtoto yaani anasafishwa maradhi yake yote mwili wake unarudi kuwa mpya kama wa mtoto bila maradhi ya aina wala kiwango chochote! ila huyu aliwaambia watu kuwa neema ile kwenye yale maji ilikuwa na time limit. ambaye angeingia kwenye yale maji baada ya muda fulani asingeponywa.

umati wa watu ulijazana huko na hali ilifikia crisis ya kuilazimu serikali kuingilia kati, just like it is now at samunge,

so watch out brother, hizi ni siku za mwisho!

Glory to God
 
Mtu Mmoja humjui huyu MJ hajaanza leo kuleta habari za babu yaani kila akiamka yeye na babu ndo maana watu washamchoka na hata mod kaihamishia hii thread huku kijiweni!!!
Nashindwa kupata picha ya huyu kaka anayejiita MISS JUDITH anafananaje!
 
Wapendwa,

Kama nilivyowaahidi ndio namaliza mazungumzo na rafiki yangu kutoka Eritrea kuhusu "babu" wa huko kwao na shughuli zake. Kimsingi hatofautiani sana na babu wetu huyu wa TZ. Mambo ya "babu" wa Eritrea kwa mujibu wa huyu rafiki ni kuwa:


1.
Alijulikana kwa jina la Armalakha na alikuwa muinjilisti na mhubiri hodari katika nchi za Ethiopia na Eritrea hata kabla Eritrea haijajitenga kutoka Ethiopia.

2.
Aliwahi kuingia katika migogoro kadhaa na makanisa ya kikatoliki na orthodoxy (amabyo ndiyo makubwa na yanaheshimika sana nchini humo) ya Eritrea na Ethiopia kwa sababu makanisa hayo yalipinga utaratibu wa tiba yake kwa kuhusianisha uganga wake na mafundisho ya biblia.

3.
Mwaka 1996 alianza kudai kuwa mungu amemuotesha mchanganyiko wa madawa asilia ambayo huyachanganya na kuyachemsha na kasha maji yake kuwanywesha wagonjwa wake na makapi ya maji yake kuwafungia wagonjwa wake kwenye mkono wa kuume na kuuning'iniza mkono huo kama POP. Hiyo ni baada ya kusema mungu kamtokea katika ndoto na kumfunulia kuwa maradhi yote yanayowasumbua watu yako tumboni na hutokea mwilini kupitia mkono wa kuume.

4.
Watu wa kwanza kunywa dawa zake walikuwa wakiongea kwa lugha za ajabu na yeye akawa anadai ndizo lugha mpya zilizotabiriwa na nabii Yoeli!
5.
Alidai anatibu magonjwa makuu kama kansa, ukimwi, kisukari na kutoa mapepo ya aina zote kwa dawa zake hizo!

6.
Alidai mungu kamwagiza atibu kwa Nakfa 8/- tu (nakfa ni sarafu ya Eritrea na nakfa moja ni sawa na senti kama 30 za USD)

7.
Alipata umaarufu mkubwa sana na wa ghafla sambamba na kutajirika sana katika kipindi kifupi sana na kulikuwa na shuhuda nyingi sana kuwa watu wengi walipona maradhi yao kwa muda mfupi sana na kimiujiza japo hospitali za Ethiopia na Eritrea hazikuwahi kuthibitisha uponyaji wake hata mara moja!

8.
kutokana na uhasama ulioibika baada ya Eritrea kujitenga na Ethiopia (baada ya eritrea kujitangazia uhuru), alituhumiwa kuwa alikuwa wakala wa intelijensia ya Ethiopia (yaani alikuwa anaipatia serikali ya Ethiopia taarifa za siri za kijasusi) na kufuatia kuandamwa sana na vyombo vya dola aliuawa kwa kupigwa risasi June mwaka 2006.


Hayo ndiyo niliyopata kwa rafiki yangu huyu.

Wapendwa tusiache kuzijaribu kila roho ili tujiridhishe kuwa zimetokana na Mungu. Neno la mungu ni taa na mwangaza wa maisha yetu, liyumulikie kila tuendapo. Amina.

Nawatakia tafakari njema

Glory to God

Hatuhitaji masimulizi yako binafsi uliyoyabatiza jina la masimulizi ya rafiki yako wa eritrea.

Lakini lililo kubwa hapa ni kwamba habari kama hiyo lazima ingeripotiwa na vyombo vya habari, nadhani we mwenyewe unaelewa ni kwa kiasi gani babu wa loliondo amepata promo ya vyombo vya hyabari, si vya ndani tu bali hata vyombo vya habari vya kimataifa kama BBC, VOA, DEUSTCHWELLE, RFI na vingine.

Ingekuwa jambo la msigi sana kama ungetusaidia link ya kuonyesha hiyo habari ya miujiza ya babu wa eritrea na si masimulizi yako binafsi na rafiki yako. Haiwezekani babu wa eritrea afanye maajabu hayo yote halafu habari zake zisifike kwenye vyombo vya habari, au unataka kutuambia eritrea na ethiopia hakuna vyombo vya habari??

Tafakari Judith!!
 
Hatuhitaji masimulizi yako binafsi uliyoyabatiza jina la masimulizi ya rafiki yako wa eritrea.

Lakini lililo kubwa hapa ni kwamba habari kama hiyo lazima ingeripotiwa na vyombo vya habari, nadhani we mwenyewe unaelewa ni kwa kiasi gani babu wa loliondo amepata promo ya vyombo vya hyabari, si vya ndani tu bali hata vyombo vya habari vya kimataifa kama BBC, VOA, DEUSTCHWELLE, RFI na vingine.

Ingekuwa jambo la msigi sana kama ungetusaidia link ya kuonyesha hiyo habari ya miujiza ya babu wa eritrea na si masimulizi yako binafsi na rafiki yako. Haiwezekani babu wa eritrea afanye maajabu hayo yote halafu habari zake zisifike kwenye vyombo vya habari, au unataka kutuambia eritrea na ethiopia hakuna vyombo vya habari??

Tafakari Judith!!

mazungumzo ni kitu cha kawaida kabisa katika jamii yoyote. kila litokeapo jambo linalovuta hisia za watu kama hili la babu wa kijijini samunge, ni kawaida watu kulizungumzia na hata kushare na marafiki na jamaa zao ikiwa na lengo la kufahamishana, kutahadharishana au kuelimishana.

mi nimedokeza nilichozungumza na rafiki yangu jana, so usiniachie mwenyewe kazi ya kutafakari, tutafakari kwa pamoja mpendwa

stay blessed

Glory to God
 
mazungumzo ni kitu cha kawaida kabisa katika jamii yoyote. kila litokeapo jambo linalovuta hisia za watu kama hili la babu wa kijijini samunge, ni kawaida watu kulizungumzia na hata kushare na marafiki na jamaa zao ikiwa na lengo la kufahamishana, kutahadharishana au kuelimishana.

mi nimedokeza nilichozungumza na rafiki yangu jana, so usiniachie mwenyewe kazi ya kutafakari, tutafakari kwa pamoja mpendwa

stay blessed

Glory to God
Very Low indeed! huh
 
Back
Top Bottom