swali!?

Avatar Myg

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
675
118
Ivii.. Umewahi kujiuliza mtu wa kwanza kugundua maziwa ya ng'ombe alikua anafanya nini na ng'ombe??
 
alimchinja wakati anamchuna ngozi kufika kwenye maziwa kuyashìka yakatoa maziwa kuanzia hapo basi maziwa kama kawa
 
alidhani ng'ombe wake anauvimbe, alipojaribu kukamua yakatoka majimaji(maziwa) akihisi ni usaha, kwa kuwa yalitoka mengi akaamua kuhifadhi kwenye kopo ili apeleke kwa dr wa mifugo, kwa bahati mbaya mwanae akchukua lile kopo na kunywa kisha akasema taaamu... loh ikabidi a test kama kweli.. haah iliyobaki malizieni wenzangu
 
Alikuwa anafanya uchunguzi kwanini mtoto wa ng'ombe kutwa anashinda kwenye titi mama ng'ombe.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom