Ndoto za Zuzu

Ndoto za Zuzu

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,799
Reaction score
9,255
Zuzu ana ndoto za kumuomba Gadafi aje agombee uraisi mwaka 2015.
Hadi leo ni miaka takriban hamsini uchumi umedorora, walala hoi wamekata tamaa.
Gadafi katawala Libya miaka 32, kageuza jangwa kuwa mashamba, umeme wa uhakika, miundo mbinu bora na raia wanafurahia matunda ya uhuru.
Gadafi si bora aje nchini kwetu atufanzie nchi yetu iwe kama pepo?
Mara Zuzu akashtuka usingizini
 
Angalau basi tutoke hapa tulipo kwa udikteta kuliko hii demokrasia feki na hamna maendeleo
 
miaka 50 ya uhuru nini cha kujivunia kama bado umeme wa mgawo, maji shida, miundombini kama barabara na usafiri wa majini ni dhaifu, magonjwa lukuki hata kipindu pindu tu kimetushidna, TRC tumeuza kwa wahindi, ATC tumeuza, TBL tumegawa kwa wa sauzi, NBC tumeuza Hivi tumebaki na nini?

Ndoto ya ZUZU inaweza kuwa na kaukweli ingawa solution si kumleta gadafi.
 
ni kweli, natamani Gadafi angekuja kuwa kiongozi hapa TZ. mleta maada. sio miaka 32 ni 42 from 1969.
 
Zuzu ana ndoto za kumuomba Gadafi aje agombee uraisi mwaka 2015.
Hadi leo ni miaka takriban hamsini uchumi umedorora, walala hoi wamekata tamaa.
Gadafi katawala Libya miaka 32, kageuza jangwa kuwa mashamba, umeme wa uhakika, miundo mbinu bora na raia wanafurahia matunda ya uhuru.
Gadafi si bora aje nchini kwetu atufanzie nchi yetu iwe kama pepo?
Mara Zuzu akashtuka usingizini

Zuzu alipostuka, ndoto ikaendelea kwangu.
Nikaona ni bora Gadafi aje bongo tena sio kwa kugombea tu ikiwezekana hata aingie madarakani kimabavu.
Kwani faida nyingine ya kuwa na kiongozi huyu, wananchi hawatalipa kodi kama raia wa Libya.
Ghafla nikastuka.
 
.............uliposhtuka tu mi ndoto ikaendelea, mwenyezi mungu ametuma mitume wake wanatuazibu watanzania wote kwa kuruhusu wajinga wacheche wamchague raisi kibuyu asiejua hata ni nini anachofanya.
 
Zuzu alipostuka, ndoto ikaendelea kwangu.
Nikaona ni bora Gadafi aje bongo tena sio kwa kugombea tu ikiwezekana hata aingie madarakani kimabavu.
Kwani faida nyingine ya kuwa na kiongozi huyu, wananchi hawatalipa kodi kama raia wa Libya.
Ghafla nikastuka.
ahahahahaaah!! Watu mna vituko!
 
Oopsss...NJ upo mamito...liondo watu wamepungua au bado foleni ni ndefu ulipoondoka wewe baada ya kupata kikombe
Zuzu ana ndoto za kumuomba Gadafi aje agombee uraisi mwaka 2015.
Hadi leo ni miaka takriban hamsini uchumi umedorora, walala hoi wamekata tamaa.
Gadafi katawala Libya miaka 32, kageuza jangwa kuwa mashamba, umeme wa uhakika, miundo mbinu bora na raia wanafurahia matunda ya uhuru.
Gadafi si bora aje nchini kwetu atufanzie nchi yetu iwe kama pepo?
Mara Zuzu akashtuka usingizini
 
Inaweza ikawa kama joke, lakini the thing has sense in it. Amani, demokrasia n.k vimetufaa nini katika miaka hamsini? Umeme, miundombinu inaweza kuonekana anasa, familia nyingi hapa mijini tunakula mlo 1.25(wa asubuhi ni kama robo mlo), wakati nalipa kodi inayomlipa Mkullo ambaye leo anadai kila mtu ale kwa jasho lake, wakati MSE-NGE tayari anakula kwa jasho langu.... Yaani mimi nakula kwa tabu ili yeye apate guts za kunichambulia maandiko.... I LOVE YOU GADAFFI 100 TIMES, na hao wajinga watatamani ufufuke afta Amerika kukunyonga kama Saddam(I know they can and they shall).
 
Bora zuzu muotaji kuliko rais kibuyu
.............uliposhtuka tu mi ndoto ikaendelea, mwenyezi mungu ametuma mitume wake wanatuazibu watanzania wote kwa kuruhusu wajinga wacheche wamchague raisi kibuyu asiejua hata ni nini anachofanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom