JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kweli zama zinabadilika. Zamani nisipoingia jf hata kwa masaa manne tu nahisi nimepoteza kitu fulani muhimu. Sikuwahi kufikiri kama ningeweza kupita siku nzima bila kuingia jf. Ila ndo hivyo, leo...
6 Reactions
12 Replies
202 Views
Angalia wanavyofanana sana, Katika kutoa insight ya makala ninayoandaa kuhusiana na kuku nitagusia hili swala ambalo limeshafanyiwa uchunguzi na wanasayasi wengine. Ukimuona kuku ujue umemuona...
5 Reactions
16 Replies
215 Views
Chitchat ( jukwaa la JF Chit-Chats and Jokes) linajulikana kama jukwaa huru ndani ya mtandao wa JamiiForums ambapo wanachama hupumzika na kupiga soga zisizo rasmi. Tofauti na majukwaa ya siasa au...
13 Reactions
88 Replies
1K Views
Niliudhika sana ndotoni Najua hautofanya hilo Nakupenda
5 Reactions
53 Replies
491 Views
Mara ya kwanza nilijuwa ni mtu mwingine anatuchezea but hey kumbe warembo wamerudi kwa kasi baada ya kupoa muda mrefu. Tulisongeshe.
13 Reactions
178 Replies
2K Views
Uponyaji wa kiroho ni safari ya ndani inayolenga kurejesha amani ya moyo na uhusiano wako na Muumba au ulimwengu... hatua ya kwanza na muhimu zaidi ni kusamehe. Mambo muhimu ya kuzingatia...
8 Reactions
24 Replies
314 Views
Ni kweli hawaeleweki? Ni kweli wao wanadhani wana haki zote? Ni kweli wao wanajiona daraja la kwanza? Ni kweli hawaambiliki?
5 Reactions
25 Replies
287 Views
Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)? Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika? Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri...
16 Reactions
356 Replies
3K Views
  • Closed
Jana nililewa kwa stress za kupoteza pesa. Kwenye reply zangu za jana nilikosea sana ni ulevi tu. Kweli nisameheni wale nilio wakera🙏
48 Reactions
392 Replies
4K Views
After Reading that, this 👇 comes to my mind, hopefully I won't be disappointed.
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Ndiyo dawa yao..Block them wabaki peke yao!
1 Reactions
9 Replies
157 Views
Sijakosea jukwaa nimeona hizi pongezi nizitolee huku Sasa ni rasmi maandiko yetu ndani ya JamiiForums yatatambuliwa chanzo chake ni JamiiForums Tanzania Sasa unapoperuzi kwenye majukwaa na mada...
6 Reactions
4 Replies
140 Views
Nyie mliojipata acheni sifa za kijinga za kujiposti na misosi kwenye mitandao ya kijamii. Hali ya maisha sasa hivi kwa wengi ni ngumu chakula ni shida halafu kwa maksudi mnaturingishia hiyo...
8 Reactions
12 Replies
274 Views
Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu. Saa 2 usiku hadi saa 12 asubuhi. Usingizi hauji kabisa , sijui wagonjwa wapo hali gani
3 Reactions
13 Replies
214 Views
I don't like bat
12 Reactions
204 Replies
2K Views
Leo nimeamka kichwa kiko ndwii kutokana na mvinyo wa wikiendi ulioanza ijumaa, nikasema ngoja niingie Google, niandike jina langu nione linatokea kwenye majukwaa yapi huko duniani. Ile naingiza...
5 Reactions
29 Replies
220 Views
Mara nyingi humu JF nimeona wanaume ndio wanaoandika sana mada zinazohusu wanawake, na wakati mwingine inafika hatua unaona kama kuna complaints nyingi kuhusu wanawake. Leo nataka kuuliza jambo...
13 Reactions
125 Replies
2K Views
Happy Birthday Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica 🎉🥳 Kwa niaba ya wana jamvii Tuna kutakia afya njema, furaha, mafanikio na maisha yenye baraka tele Thank you for your great contribution and for...
35 Reactions
59 Replies
1K Views
Back
Top Bottom