Gen Z ulidananywa nini na Millenials?

Gen Z ulidananywa nini na Millenials?

Baba wa mbingu

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
547
Reaction score
1,329
Wakubwa kwema?

Wakati flani kwenye makuzi yangu kuna Brother mmoja alinidanganyaga kuwa LEGEND Roberto Carlos wakati wake akiwa anakiwasha vizuri kwenye soka kuwa alimwambia Dogo lake akidaka penalty yake anampa robotatu ya utajiri wake na mke wake.

Ikatokea mdogo wake akaudaka mkwaju wake wa penalty na kufia golini kwa shuti lilomzidi uwezo.😀😀😀😀
Aaaah MILLENIAl walitupanga kwa kweli asee.
 
Ngoja Gen Z wenzio waje.
Gen Zzzzzzzzzzzzzzz mnaitwa!
 
Mimi niliwah mdanganya jinizii kuwa ntamwagaa nje, matokeo yake saivi analea kichanga.
 
Mm niliambiwa mapenzi yapo tuu, nisiwe na haraka nikiwa mkubwa ntayakuta.

😭 Nmeshakuwa mkubwa, naambiwa nitafute pesa kwanza
 
Back
Top Bottom