Kila mtu ni shujaa!

Kila mtu ni shujaa!

Seleina Tikili

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,407
Reaction score
2,729
Hakuna aliye dhaifu sote ni wenye nguvu na washindi.Wengi wanakukatisha tamaa kwenye safar yetu ya upambanaj.

usitege sikio wala kuwasikiliza wapuzilie mbali maana ukiwasikiliza utajikuta umepoteza.

umuweke mungu mbele kwenye kila ufanyalo.usikate tamaa maana ww n shujaa usiyeshindwa.
 
Back
Top Bottom