Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,408
- 4,986
Wakuu, kuna ile ukiwa na pesa ni kama kiwango cha nidhamu ya matumizi huwa kinapotea au kushuka unakuwa unatumia tu.
Na baada ya kubaki na kiwango kidogo nidhamu inarudi wakati unasubiri michongo itiki tena au mshahara uingine.
Wewe nidhamu huwa inarudi ukibaki na kiasi gani? Mimi nikibaki na 50000 naanza kuwa na adabu kabisa
Na baada ya kubaki na kiwango kidogo nidhamu inarudi wakati unasubiri michongo itiki tena au mshahara uingine.
Wewe nidhamu huwa inarudi ukibaki na kiasi gani? Mimi nikibaki na 50000 naanza kuwa na adabu kabisa