JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Inaonekana kuwa mbaya ni kigezo kimojawapo cha kupata mafanikio. Kama una mbinu yoyote inayoweza saidia mtu kuwa mbaya, mbinafsi na mnafiki, mbinu zitakazo mfaidisha na kumuepusha na madhara ya...
5 Reactions
22 Replies
301 Views
Nimewamiss wanajukwaa. Njooni tubadilishane mawili matatu, jichagulie swali hapo chini tupige story! Je wajua kwamba wanawake wana kiungo kimoja mwilini ambacho kazi yake ni kusikia raha tu na...
15 Reactions
803 Replies
7K Views
Bata batani, wana wa stress free zone Don't take it personal... Wala usichukulie wahusika wa mada hii ni watu wa nyodo wenye nazo na wanaopenda show off... La hasha... Hata wewe ni sehemu ya mada...
31 Reactions
1K Replies
96K Views
1. Wahaya. Wapo vizur kichwani yaan shule inapanda. Wana mvuto, Papuch zao laini Hawanyimi ukienda vizuri Wanaweza kutoa papch kwa miadi ya pesa. Are mostly black beaty na maumbo mazuri Selfish...
18 Reactions
216 Replies
71K Views
Zamani tulizoea kusikia habari za misukule kule vijijini ambapo mtu anafanywa msukule wa kimwili, anazikwa kisha anaenda kulimishwa mashamba usiku. Siku hizi ulimwengu wa giza umeweka kambi...
8 Reactions
70 Replies
630 Views
Time is "makangability" (Time is making ability) Waswahel wanasema WAKATI UKUTA na Jr anasema WAKATI SI MILELE Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na...
15 Reactions
113 Replies
1K Views
Kawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na...
12 Reactions
110 Replies
732 Views
Heshima kwenu moderators wa jamii forum, bila kuzunguka sana mimi raisi wa ma jobless pro max naomba ulinzi wenu siku ya leo humu jukwaani. Ni kweli naipenda timu ya aArsenal ila inanitesa sana...
14 Reactions
130 Replies
977 Views
Saivi ni mida ya kwenda kunywa bia na kidar pembeni. Hivi unaenda mwenyewe ama kuna mtu anakpa kampani.
4 Reactions
28 Replies
268 Views
Mada spesheli ya vijana Mambo vipi machalii wa jukwaani na wale warembo wanaosubiri PM (Private Messages) kwa hamu! Hivi karibuni nimekaa nikakumbuka ile tamthilia ya tangu enzi zile isiyoisha...
4 Reactions
74 Replies
706 Views
Kila mmoja anapenda kuwa tajiri, na hii inatokana na faida nyingi uzipatazo pale unapokuwa tajiri. Na unapozungumzia utajiri, unazungumzia kumiliki rasilimali fedha, watu, majengo, mashamba...
5 Reactions
39 Replies
445 Views
Mtaani kuna jamaa kaoa mwaka jana na kweli toto si toto. Nyash kama lote kwa ujumla ni wale warembo waloumbwa wakaumbika. Sasa siku ya kwanza kumuona kweli shetani na miguu yake akanikanyaga...
0 Reactions
4 Replies
193 Views
Fedha inahitaji ulinzi sana Sio ule wa bank NO.
3 Reactions
18 Replies
248 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Leo bhana, katika pitapita zangu za hapa na pale, nikaangukia shule fulani, Basi bana, nikakutana na mwanafunzi kapendeza zake, lakini shingoni kavaa bango kubwa limeandikwa “Swahili Speaker”...
1 Reactions
6 Replies
248 Views
Juzi kati nimepiga kapicha flani apo amaizing ila kamenishtua kidogoo mazeee, nina miaka 30 ilaa daah... Nifanyejeee nirudi ujananii?
5 Reactions
25 Replies
381 Views
Kuota umepoteza kiatu kwa ujumla kunaashiria kupoteza mwelekeo, kukwama kwa safari ya mafanikio, au kupoteza utambulisho na ulinzi katika maisha yako ya kila siku. Kiatu katika ulimwengu wa...
12 Reactions
70 Replies
694 Views
Hamjambo? Mwaka 2011 na 2012 nilikuwa naishi maeneo ya mgodi tz hii hii. Sa tukawa tunaenda kuokota yale wawe yanayomwagwa sehemu na unakuta yana dhahabu hata ya kuuza had m30. Sku moja...
9 Reactions
66 Replies
894 Views
Mimi kama Gen Z naomba nianze Hivi Millenials ilikuwaje mkawa yale mashati ya shule mnayatumbukiza kwenye ile mliyokuwa mnayaita BLUU? Kaka yangu alikuwa na huo mtindo kila akirudi shule alikuwa...
18 Reactions
65 Replies
917 Views
" Bubu anaitwa Maneno " 😂😂 "Nakunywa Serengeti Ngorongoro" "Nakunywa soda mbele ya shomari kapombe" Huyu jamaa jau hebu na wewe dondosha moja ya mstari wake tuone
16 Reactions
56 Replies
2K Views
Back
Top Bottom