JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nyie mliojipata acheni sifa za kijinga za kujiposti na misosi kwenye mitandao ya kijamii. Hali ya maisha sasa hivi kwa wengi ni ngumu chakula ni shida halafu kwa maksudi mnaturingishia hiyo...
8 Reactions
12 Replies
274 Views
Dah, hili kanisa too much, usiku kucha nyimbo tu. Saa 2 usiku hadi saa 12 asubuhi. Usingizi hauji kabisa , sijui wagonjwa wapo hali gani
3 Reactions
13 Replies
217 Views
I don't like bat
12 Reactions
204 Replies
2K Views
Leo nimeamka kichwa kiko ndwii kutokana na mvinyo wa wikiendi ulioanza ijumaa, nikasema ngoja niingie Google, niandike jina langu nione linatokea kwenye majukwaa yapi huko duniani. Ile naingiza...
5 Reactions
29 Replies
221 Views
Mara nyingi humu JF nimeona wanaume ndio wanaoandika sana mada zinazohusu wanawake, na wakati mwingine inafika hatua unaona kama kuna complaints nyingi kuhusu wanawake. Leo nataka kuuliza jambo...
13 Reactions
125 Replies
2K Views
Happy Birthday Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica 🎉🥳 Kwa niaba ya wana jamvii Tuna kutakia afya njema, furaha, mafanikio na maisha yenye baraka tele Thank you for your great contribution and for...
35 Reactions
59 Replies
1K Views
  • Closed
Seran una lolote la kutuambia? Its your day! Jiachie Nawe mpenzi msomaji karibu ujumuike kwenye hili vibe! NB: Hakuna kukerana hapa! Tupo kwa ajili ya chitchat na furaha yetu sote.. Don't cross...
15 Reactions
109 Replies
1K Views
Wakuu! Me mwenzenu nawachukulia ninyi kama ndugu zangu. Sasa nimeona niazishe uzi huu kwa ajili ya salamu na kujuliana hali. Ukiingia tu JF, unapita kwanza hapa. Kuna member mna marafiki humu, kwa...
9 Reactions
165 Replies
2K Views
Hii mada ni kuhusu ndugu zetu hapa JF ambapo hufikwa na majanga fulani kimaisha na kuona kila kitu ni kibaya Hujihisi kutengwa, kutothaminiwa na hata kutopendwa.. Akichanganya na stress binafsi...
23 Reactions
162 Replies
2K Views
Cycles zako JF ni zipi? Kumbuka ukikaa karibu na uaridi(waridi) utanukia.. Lakini pia ndege wafananao huruka pamoja Una team na nani? JF Elites? Wambea? Wazee wa connection Ma bazazi?😀 Wala bata...
15 Reactions
212 Replies
2K Views
Wewe kwenu ilikuwaje?
9 Reactions
42 Replies
643 Views
Hakuna mtu mwenye pesa zake, elimu yake au resources zake atakubali kuoa mke au kuolewa na mume mwenye sura mbaya. Siku hizi wasomi wapo kila kaya, ili utoboe kupata kazi ya maana lazima...
7 Reactions
61 Replies
1K Views
Angalia ni nani unammudu.. Huyo ndie kibonde wako.. Hata lama ni zaidi ya mmoja wachakue wachachuke! Ila hakikisha una msuli.. Hakikisha una kifua kipana! Hakikisha unawamudu..! Naanza na Atoto...
12 Reactions
125 Replies
1K Views
Ma dem ckhz mpk upige mimba kaamua mwenyewe, wanaweka vijiti begani vya kuzuia mimba unapewa sharti no mimba mpk ndoa kwanza
6 Reactions
49 Replies
619 Views
Namalizia mwezi wangu ndani ya chitchat nisepe zangu kulekule..! Kila mtu kila mahali ana MSIRI wake kwenye kila Jambo. Je wewe MSIRI wako ni nani JF? Una hakika hata akilewa hawezi kufunguka?
14 Reactions
540 Replies
5K Views
Panda usafiri wa wengi baada ya kazi utakutana na harufu za kila aina.. Na zinakera hasa.. Na zikiwa combined unaweza kupata kinguzumkuti cha kiafya . Midomo inayonuka . Vikwapa .Janabha . Pad za...
20 Reactions
240 Replies
2K Views
ebu maalizia hiyo.....?
1 Reactions
14 Replies
147 Views
Pepo la umbea/udaku (mafaili buku) Pepo la kukataa ndoa Pepo la kujichua Pepo la uchawa Pepo la upigaji Pepo la uzushi Pepo la ushoga Ongezea yaliyosahaulika NB: pepo la ushirikina, uchawi na...
17 Reactions
218 Replies
2K Views
Back
Top Bottom