Hii ni fedheha kubwa kwa vijana Marasta wa Arusha kuutweza utu wao kwa ujira kiduchu wa Dola toka kwa watalii. Inakuaje kijana unajidhalilisha kisa pesa/pombe?
NB: kazi (Halali) kipimo cha utu...
Ukimuita tu dada mwenye makebo makubwa uanshangaa yeye lazima aje wa kwanza utafikir umemuita yeye, kila sehemu unakuta anamshika mkkono ila tu auze nae sura na kumpa ushauri wa kila mwanaume...
CHAPA YA NDANI KWA NDANI😋
Kwenye kuta za faragha, penye sitara na siri, chanjo chini ya ushaga,
pasipo jicho la siri,Si jeraha la mahaba, bali pendo la fahari,
Chale yako kalioni, alama...
Kuna hatua za kiakili ambazo mtu hupitia kabla hajapiga kelele ile ya kitaa ya “HEBU SHUSHA HAPO!” ndani ya daladala, na honestly zinastahili kufanyiwa utafiti wa kisayansi.
Kwanza kabisa kuna...
Niliambiwa na wazazi wangu kuwa nilizaliwa April 30, 1991
Na Leo nimetimiza miaka 35
Mimi ni mme na baba, Nina watoto 2
Ni mfanyabiashara wa nafaka, mkulima na mfugaji
Nitakie heri na nishauri...
PUSSY ilikuwa ni CAT/PAKA
SEX ilimaanisha GENDER/JINSIA
BITCH ilikuwa FEMALE DOG/MBWA JIKE
DICK ilikuwa ni NAME/JINA
BANG ilikuwa SOUND/KISHINDO CHA SAUTI
RUBBER ilikuwa ERASER/KIFUTIO
ASS alikuwa...
Hapa uliza swali lolote la kijinga halafu uone utakavyojibiwa jibu la kipuuzi.
Warning: Hakuna kutukanana!
Mfano: Hivi picha maarufu ya jiji la Dar inayoonyesha askari kashika bunduki, yule ni...
Kuna mapengo hayazibiki… 🥹
Umewahi kukaa mbali na mtu au watu uliowapenda sana? Ilikuchukua muda gani kukubali kwamba wapo mbali, na pengine inaweza kuchukua muda kuwaona tena au hata kutowaona...
Mtu aliyesoma fani ya ‘sales and marketing’ na akaiva vizuri na akajitambua amesoma nini; huyu ni tajiri tayari, hatakiwi kuajiriwa.
Kama ataajiriwa, kuna uwezekano wa yeye kutokujua amesomea...
alichofanya ni hivi: alianza kumnyanyua ndama akiwa bado mdogo kabisa alivozaliwa, akawa anamnyanyua huyo ndama kilasiku.
siku zilivyokua zinaenda ndama anazidi kukua. nayeye uwezo wake wa misuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.