Kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa
Huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha
Walevi tupeni siri
Siku hizi wanajamii wa humu mmekuwa mnaringaa sijui mmeona nini jamani aisee .
Nimeomba msaada wanani anajua shamba za bei rahisi aniambie pangani au eneo lolote la Tanga kimya.
Mnashida gani...
Picha linaanza wakuu nimezoea Mafinga ukifika rood unasubili magari yaishe ndo uvuke Leo apah Dar Si nimekaa masaa ma wili nasubili magari ya ishe lakin hayaishi ndo nikaona wat wanavuk TU ivo ivo...
Mzuka wana jamvi ...
Jf kitambo na hiko alikuwa member anayependwa sana hapa jamvini , muda mrefu sasa amepotea miss Chaga , baada ya kuona post yake Leo katika Uzi wa zamani nimekumbuka sana ...
Vimaneno gani mwenzako akikuambia vinakuchanganya mkiwa mnapeana raha kitandani au hata akiwa anakuchombeza kabla ya mechi?
(wanaume waambieni wake zenu ni watamu hata kama ni kinafiki, huyu wangu...
Kuna watu humu ndani ni wataalam sana wa kumwaga like...
Sasa kama hujawahi kupewa like na leo dada na raraa reree tafadhali jitathmini sana.
Nani wengine unahisi wanafaa kushindana na hawa...
First generation ndio imetoa viongozi wengi sana hasa wa kisiasa na maarufu..
Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF
Lakini hapo hapo yakafanyika makosa...
Kuna aina mbili za watu humu JF.
Kundi la kwanza linaingia kupambana. Lengo lao ni kushinda hoja, kuthibitisha wako sahihi na kumfanya mpinzani akubali.
Halafu kuna kundi la pili... sisi.
Sisi...
hawa watu wanaweza ongea neno ukajiuliza mara mbilimbili ni yeye au limetoka kwenye kinywa cha mtu mwingine mtazame sura sasa so innocent lazima atawaacha midomo wazi na kushikilia mbavu
Akili...
Kwenye mduara utamkuta amevaa nguo ya kubana na aanze kukatika kiasi kwamba bwana camera na wale wauzuliaji wote wanamgeukia.
Kila muda ataaamka atembee tembee mara aende kwa DJ mara vinywaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.