Huu ni utajiri au umasikini?
Shule zinakaribia kufunguliwa, na nina watoto zaidi ya 13 na wote wanasoma zile shule wanazofundisha 'a for apple'.
Kila mmoja anatakiwa alipiwe deni la ada...
Wengi hatuendi vijijini tulipo toka kutokana na labda mazingira sio rafiki.
Inawezekana labda, bado kuna nyumba za nyasi, udongo, choo kisichokuwa na ushirikiano, hakuna umeme, au mazingira ni...
Uzi huu utakuwa ni maalum kwa waTanzania wote duniani kote kusheherekea ushindi wa Kombe la dunia la mpira wa miguu linaloandaliwa na FIFA kila baada ya miaka mi4.
Hata kama ni mwaka 2500 au...
ni ndugu zangu upande wa mama yangu mzazi, ni watu kujisifu sana .na huwa hawakubali unyonge lakini ukweli unabaki palepale hawa ndugu zangu asilimia 80 wana maisha magumu sana...kuna wakati...
Kwa sababu mahitaji yangu yote nayapata kutoka shambani na ufugaji, sasa hela ya nini?
Nikitaka kula nyama, naingia bandani nachinja kuku au naingia zizini nachinja mbuzi.
Nikitaka unga wa...
Huu uzi ni maaluma kwa ajili ya kuchati bila matusi mana kuna wanaopenda matusi sasa hapa hata unapenda matusi ukija kwenye huu uzi badilika hapa ni kuchati mana napenda kuchati balaa na watu...
Kielelezo cha kula kwa ufupi wa kamba
Sample bajeti
Idadi ya mikoa 5
Idadi ya wanufaika kwa mikoa yote ni 100
Viongozi 15 @200,000 = 3,000,000/=
Wasaidizi 50 @100,000 = 5,000,000/=
Vidampa 50...
Waziri katambi cjui kitambi hilo tamko lako la nida hakikisha unawaambia watoa nida walegeze masharti yaan hata bora ya mganga wa kienyeji kuliko hayo ya nida.
Na nina uhakika 50% ya...
Haya hapa ni maana ya emoji zilizopo kwenye picha sc.jpeg, zikiwa zimepangwa mstari kwa mstari kuanzia kushoto kwenda kulia:
Mstari wa Kwanza (Juu)
👍 Kidole gumba juu (Thumbs Up): Inamaanisha...
Watu wengi wanasumbuka kupata majina ya kuwapa watoto wao kutokana na kila jina analofikilia anakuta mtoto wa jilani analo sasa hapa tutaweka majina mazuri" ya watoto Iwe ya kiislam au ya kikriso...
Habari wakuu
Katika pita pita zangu YouTube kuna kitu cha ajabu kinatokea mwenye ufahamu aweke hapa.
Ukisearch video yenye urefu wa kuanzia masaa mawili kwenye PC au kwa kuwasha Desktop site...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.