JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Asalam aleykum Sheikh.🙏🙏 Sheikh mie ni pagani.Ni atheist mie.Siitikii kengele wala adhana na kabla ya madhila hii kukupata sikuwa nikikufahamu na nashindwa kukupa pole sheikh sbb sijui kwanini...
7 Reactions
31 Replies
481 Views
Eti akipaa ndio kimbembe zaidi
5 Reactions
18 Replies
198 Views
Ukienda saloon ukimaliza kunyoa una ingia kuoshwa kichwa vizuri mpaka masikio ukifika nyumbn hakuna haja tena ya kuoga ni kulala tu 😂😂😂 sio kama zaman ukitoka saloon mbio mbio kuoga 😂
6 Reactions
18 Replies
263 Views
-Wikendi inakaribia tamati -Nimeshinda humu tangu jioni hadi vidole vinauma kisa kutype -huu mfumo ulioanza leo wa kutembeza ban umenichosha sana maana muda si mrefu yatanikuta pia...
9 Reactions
27 Replies
243 Views
Ni ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje...
31 Reactions
225 Replies
2K Views
Tofauti kati ya "BAR" na "BRA" ni nafasi tu ya herufi "R". Ukifungua BAR, wanaume husherehekea. Ukifungua BRA, baadhi ya wanaume hupagawa. 😅 Sasa hebu fikiria ukitoka na msichana mzuri anayeitwa...
2 Reactions
1 Replies
56 Views
JF SIO MAMA WALA BABA YAKO labda kama umeamua kuwa mjinga kama yeye, ila piga ignore, muache aendelee kujisemesha na ku-expose madudu yake. Ule muda unaoenda kazini, mwenzako amekaa kwenye kochi...
7 Reactions
9 Replies
101 Views
Mliopo single muda mwingine mjaribu kulala mlango wazi inawezekana soulmate wako ni mwizi
17 Reactions
79 Replies
880 Views
Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo...
39 Reactions
84 Replies
1K Views
Ni tetesi au habari zipi unazokumbuka ambazo zilivuma sana enzi hizo lakini hazikutokea. Ninazozikumbuka ni pamoja na tetesi kamba dunia ingefika mwisho mwaka 2000. Nakumbuka kuna watu walikuwa...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa Huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha Walevi tupeni siri
16 Reactions
81 Replies
1K Views
Siku hizi wanajamii wa humu mmekuwa mnaringaa sijui mmeona nini jamani aisee . Nimeomba msaada wanani anajua shamba za bei rahisi aniambie pangani au eneo lolote la Tanga kimya. Mnashida gani...
4 Reactions
18 Replies
211 Views
Picha linaanza wakuu nimezoea Mafinga ukifika rood unasubili magari yaishe ndo uvuke Leo apah Dar Si nimekaa masaa ma wili nasubili magari ya ishe lakin hayaishi ndo nikaona wat wanavuk TU ivo ivo...
5 Reactions
21 Replies
265 Views
Mzuka wana jamvi ... Jf kitambo na hiko alikuwa member anayependwa sana hapa jamvini , muda mrefu sasa amepotea miss Chaga , baada ya kuona post yake Leo katika Uzi wa zamani nimekumbuka sana ...
3 Reactions
6 Replies
86 Views
"Wanaume mnanuka vikwapa, ogeni"
7 Reactions
6 Replies
136 Views
Kusifiwa umependeza sio baya jamani ata mimi ninapenda wanaume wanaopendeza.
3 Reactions
31 Replies
468 Views
Kama huwezi kutoa hela ya matunzo acha kutongoza wanawake weupe. Mwanaume unatongoza mwanamke Unashidwa kumtunza ukifa moto unakuhusu
0 Reactions
0 Replies
45 Views
Wakuu habarini..? je ni member gani unaona ana trend sana ambae amejiunga mwezi wa 6 kunendelea?
4 Reactions
53 Replies
621 Views
unabaki unakodoa mimacho tu....aibu utaona wewe🤣🤣👌. kila muamala ni bao la ushindi huko katoro naskia eti..
0 Reactions
0 Replies
50 Views
Back
Top Bottom