Walevi tunatumia magari kwenda ulevini na kurudi , hapo unatafunwa vipi na mbwa wa kimatumbi ambao wamelegea mpaka miguu.kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa
huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha
walevi tupen siri
Hakuna siri, dawa ni kulewa chakari, utapata heshima njiani na hata wakabaji watakupisha tuu.kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa
huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha
walevi tupen siri
Ujue hata mbwa Akisoma huu Uzi anajiuliza mlevi ni Nani ? Mbona sijawahi kumuona ? Na kwanini ?Walevi tunatumia magari kwenda ulevini na kurudi , hapo unatafunwa vipi na mbwa wa kimatumbi ambao wamelegea mpaka mguu.
Yaani, wachawi Huwa hawanaga time na wavuta bange na waleviii
Mimi ni mlevii hivyo sisi walevii Huwa tuna confidence mbwa Huwa anaweza sense mapigo ya moyo ya mtu mwoga ☺️😊
Ukianzisha uzi wa ulevi lazima ufe kifo cha asili bwasheeUjue hata mbwa Akisoma huu Uzi anajiuliza mlevi ni Nani ? Mbona sijawahi kumuona ? Na kwanini ?
kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa
huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha
walevi tupen siri
Inasemwa wachawi huwadharau sana waleviiSasa wachawi wachukue mlevi akalime kwa sababu gan. Maana mlevi tayar ameshachoka. Unaweza kumfikisha shamban akalala na asiwe productive 😊😊😊😊
Yupi na wapi? Kieleze dadaNataka niwaambie, HAKUNA TAJIRI ANAYELEWA.