Hivi mzee, ni kila siku huwa unakunywa na kulewa kabisa?Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo tumechinja kuku mkubwa hatari 🤣
Mpare mmoja alinifundisha jinsi ya kula ugali mkubwa kwa ugali mdogo, yaani ugali mkubwa ni ugali tu halafu ugali mdogo ni mboga tamu sana.Pesa tam, tena kwa wamama wa kichaga ndio kabisa, hapendwi mtu ila pesa yake
Faller sana wewe🤣Mpare mmoja alinifundisha jinsi ya kula ugali mkubwa kwa ugali mdogo, yaani ugali mkubwa ni ugali tu halafu ugali mdogo ni mboga tamu sana.
Kwani wewe ukitumiwa $1,000 bila kuiomba wala kutarajia hautafurahi?Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo tumechinja kuku mkubwa hatari 🤣
Hapa sasa hivi nakuambia utoe bwashee 😎Wapi nimeambiwa nitoe Bwashee?😅
De niga de pombez, welcome de safar here de liquor storePombe ni nzuri ukiwa na pesa. Sasa kunywa afu asubuhi unaombwa hela ya sukar na hauna! Hapo ndo hadi utasikia mbwa wako anakuuliza who who lakin kama una mshko wa maana hadi kuku watakuita ka ka mkuubwa.