Matatizo ni ya kuyakimbia. Mtu anakuinamia chuchu zinakugusa usoni... Anakutekenya na vidole masikioni.. (sio kwamba wana kuosha) anahamia kwenye pua tena... Mara ya mwisho nafutwa pua kama na kamasi nadhani sijui nilikuwa class 1 au chekechea... Sasa na uzee mtu anafanya hayo... Bado anafungua shati nusu vifungo kisa kuosha shingo tuu kufuta nywele...
Hayo yanaendela huku anakupigisha story na kuchungulia kwenye kioo vile una hamgaika (maana unakuwa umefunga macho). Hiyo yote ya nini? Kwanza Sasa hivi hata nikiona saloon ina maandishi makubwa na vioo vingi siingii... Na sometimes mama nyumbani ananikwangua upara safi kabisa... Nikienda huko saloon labda masharubu tu kuyaweka sawa.