prida
JF-Expert Member
- Jun 2, 2026
- 668
- 1,336
Asalam aleykum Sheikh.🙏🙏
Sheikh mie ni pagani.Ni atheist mie.Siitikii kengele wala adhana na kabla ya madhila hii kukupata sikuwa nikikufahamu na nashindwa kukupa pole sheikh sbb sijui kwanini umeenguliwa ila naamini kuna kosa umetenda na nina tamani kujua ulipokosea sababu;
1)Video zako chache nilizopitia zimefanya niutamani uislamu.
Sheikh,the way unainukuu na kuitafsi Quran kwa utulivu na kujiamini huleta amani moyoni.
2)Sheik una sauti nzuri ya kipekee.I gues unafanya vocal training kwa ajili ya mawaidha ila kama umezaliwa nayo hongera.
3)Sheikh,una tabasamu fulani hivi huwa linajitokezaga unapoongea hakika linavutia.Hata wakati unakabidhi ofisi tabasamu lile halikuacha kujitokeza.
4)The way umekabidhi ofisi ile kwa upendo,utulivu na hekima imenivutia.
Naamini walokutengua wana sababu za msingi na utajirekebisha ila kama ni ajili ya yule mdada walitazame jambo upya mana kwa clip niloona dada yule akimchamba Diva naona kama shosti angu yule ana shida mahala.Yawezekana nikakosea ila dada yule nahisi si malaika sana ni vile tu katika vita kati ya mwanamke na mwanaume mara nyingi mbaya huwa mwanaume.Sisi tukitoa tu chozi na kutaja watoto baasi dunia yote inatuonea huruma.
ALl in all, Allah akufanyie wepesi Sheikh.Ulipokosea akupe rehma za kujisahihisha..
Sheikh mie ni pagani.Ni atheist mie.Siitikii kengele wala adhana na kabla ya madhila hii kukupata sikuwa nikikufahamu na nashindwa kukupa pole sheikh sbb sijui kwanini umeenguliwa ila naamini kuna kosa umetenda na nina tamani kujua ulipokosea sababu;
1)Video zako chache nilizopitia zimefanya niutamani uislamu.
Sheikh,the way unainukuu na kuitafsi Quran kwa utulivu na kujiamini huleta amani moyoni.
2)Sheik una sauti nzuri ya kipekee.I gues unafanya vocal training kwa ajili ya mawaidha ila kama umezaliwa nayo hongera.
3)Sheikh,una tabasamu fulani hivi huwa linajitokezaga unapoongea hakika linavutia.Hata wakati unakabidhi ofisi tabasamu lile halikuacha kujitokeza.
4)The way umekabidhi ofisi ile kwa upendo,utulivu na hekima imenivutia.
Naamini walokutengua wana sababu za msingi na utajirekebisha ila kama ni ajili ya yule mdada walitazame jambo upya mana kwa clip niloona dada yule akimchamba Diva naona kama shosti angu yule ana shida mahala.Yawezekana nikakosea ila dada yule nahisi si malaika sana ni vile tu katika vita kati ya mwanamke na mwanaume mara nyingi mbaya huwa mwanaume.Sisi tukitoa tu chozi na kutaja watoto baasi dunia yote inatuonea huruma.
ALl in all, Allah akufanyie wepesi Sheikh.Ulipokosea akupe rehma za kujisahihisha..