Haina haja ya kuishi na mabifu na dharau maisha yenyewe mafup.Leo upo ya kesho hayajulikani.
Tuombane msamaha kwa wote waliopitan na hata kutukanana hapa jukwaani.
Mwanaume mmoja alikuwa na haraka akaamua kuingia choo cha wanawake....
Baada ya kujisadia akaona VITUFE vinne vilivyoandikwa MU, HM, PD na TP...
Kwakuwa hakujua kazi zake akaamua kubonyeza MU...
Samahani wanajamvi,
Kweli kweli nimetamani sana naomba kuunganishwa na Wema Sepetu natamani kumuoa. Nasikia amekosa mtoto mi najua nitafanyaje apate mtoto tena akipata hata mapacha. Mimi nina 29...
Naanza mimi,
Misemo / quotes - nimeona au kusikia maneno ya hekima au sentensi nzuri, najiambia "nitaitumia baadaye", lakini naisahau kabla sijapata nafasi.
Namba ngeni za simu, huwa nasema...
Ukipewa uzima na siha njema mshukuru sana Mungu
Ukiamka huna miadi na tabibu mshukuru sana Mungu
Ukiamka huna kesi polisi mshukuru sana Mungu
Ukiamka una sehemu ya kwenda na ukirudi una sehemu...
Mwanaume anapitia vita kubwa ya kiroho ndani ya nafsi yake, ambapo anapambana kila siku kulinda maadili na imani yake dhidi ya vishawishi vya siri kama tamaa, hofu ya kushindwa, na uraibu😪.
Vita...
He is a very nice guy.. Very charming dude.. But never underestimate him and cross his epic line
Because once aggigated you can't cool him down easily.. It May take dayZ😂
Wakuu nimemiss hadithi balaa tangu sijajiunga JF nilikua nasoma hadithi nyingi ila sasa sioni hadithi hebu wakuu tafadhalini sana niwekee link uzi wa hadithi yoyo iwe ya kijasusi au ya mapenzi...
Usiku huu, ulimwengu wa roho unashuhudia matembezi makali ya shetani na jeshi lake la mapepo, usiku unaoambatana na dhoruba za kila aina ya uharibifu ambapo mkuu wa giza anajipenyeza kama upepo wa...
Rasilimali, fursa, au mazingira yaliyopo yanaweza kutumiwa vibaya au kupuuzwa na watu wasio na maarifa (wajinga), lakini watu wenye akili na busara (werevu) huyatumia hayo hayo kujipatia mafanikio...
Huu uzi mahsusi kwa wale wanaokosa ucngz kuanzia saa 7 mwisho 12 asubuhi mimi hua nakosaga ucngizi mara kwa mara so nimeamua kufungua huu uz wakuu kwa ajiri ya kuchat na member humu jukwaani japo...
Sometimes huwa najiuliza, kwa nn Nature inafeli kufata mkondo wake. Unakutana na jimama au jidada lina mitikasi, identity na personality na kiume kabisa. Kuanzia roho, akili na kiasi cha ujeuri...
Kuna wengine hadi leo yamekolea hadi kuwa sehemu ya maisha yao.
Mimi waliniita MANDINGO, linipofatilia lilikuwa jina la mcheza porno wa kiume😃😃, sababu nilikuwa napenda wasichana sana na...
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
Siku
mgeni akija home kuna ile siku mzazi akijipata mfukoni na pesa ya kinywaji kimoja tu cha mgeni, na kwasababu ana tamani sana kumpokea vizuri mgeni wake, na kumpa chochote kitu, basi soda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.