JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Seran ujue nakuzimia mke !
11 Reactions
300 Replies
2K Views
Haina haja ya kuishi na mabifu na dharau maisha yenyewe mafup.Leo upo ya kesho hayajulikani. Tuombane msamaha kwa wote waliopitan na hata kutukanana hapa jukwaani.
5 Reactions
12 Replies
116 Views
Mwanaume mmoja alikuwa na haraka akaamua kuingia choo cha wanawake.... Baada ya kujisadia akaona VITUFE vinne vilivyoandikwa MU, HM, PD na TP... Kwakuwa hakujua kazi zake akaamua kubonyeza MU...
8 Reactions
30 Replies
464 Views
Samahani wanajamvi, Kweli kweli nimetamani sana naomba kuunganishwa na Wema Sepetu natamani kumuoa. Nasikia amekosa mtoto mi najua nitafanyaje apate mtoto tena akipata hata mapacha. Mimi nina 29...
1 Reactions
58 Replies
8K Views
Naanza mimi, Misemo / quotes - nimeona au kusikia maneno ya hekima au sentensi nzuri, najiambia "nitaitumia baadaye", lakini naisahau kabla sijapata nafasi. Namba ngeni za simu, huwa nasema...
0 Reactions
2 Replies
62 Views
Ukipewa uzima na siha njema mshukuru sana Mungu Ukiamka huna miadi na tabibu mshukuru sana Mungu Ukiamka huna kesi polisi mshukuru sana Mungu Ukiamka una sehemu ya kwenda na ukirudi una sehemu...
37 Reactions
209 Replies
3K Views
Mwanaume anapitia vita kubwa ya kiroho ndani ya nafsi yake, ambapo anapambana kila siku kulinda maadili na imani yake dhidi ya vishawishi vya siri kama tamaa, hofu ya kushindwa, na uraibu😪. Vita...
16 Reactions
32 Replies
305 Views
He is a very nice guy.. Very charming dude.. But never underestimate him and cross his epic line Because once aggigated you can't cool him down easily.. It May take dayZ😂
18 Reactions
92 Replies
850 Views
Wakuu nimemiss hadithi balaa tangu sijajiunga JF nilikua nasoma hadithi nyingi ila sasa sioni hadithi hebu wakuu tafadhalini sana niwekee link uzi wa hadithi yoyo iwe ya kijasusi au ya mapenzi...
7 Reactions
8 Replies
146 Views
Usiku huu, ulimwengu wa roho unashuhudia matembezi makali ya shetani na jeshi lake la mapepo, usiku unaoambatana na dhoruba za kila aina ya uharibifu ambapo mkuu wa giza anajipenyeza kama upepo wa...
18 Reactions
48 Replies
574 Views
Share your memories... Negatively😪💔 OR Positively😍💖 Whatever the cause! Just share..!🔥💪🏿
11 Reactions
127 Replies
850 Views
Rasilimali, fursa, au mazingira yaliyopo yanaweza kutumiwa vibaya au kupuuzwa na watu wasio na maarifa (wajinga), lakini watu wenye akili na busara (werevu) huyatumia hayo hayo kujipatia mafanikio...
13 Reactions
39 Replies
297 Views
  • Redirect
Huu uzi mahsusi kwa wale wanaokosa ucngz kuanzia saa 7 mwisho 12 asubuhi mimi hua nakosaga ucngizi mara kwa mara so nimeamua kufungua huu uz wakuu kwa ajiri ya kuchat na member humu jukwaani japo...
0 Reactions
Replies
Views
Sometimes huwa najiuliza, kwa nn Nature inafeli kufata mkondo wake. Unakutana na jimama au jidada lina mitikasi, identity na personality na kiume kabisa. Kuanzia roho, akili na kiasi cha ujeuri...
2 Reactions
16 Replies
209 Views
Kuna wengine hadi leo yamekolea hadi kuwa sehemu ya maisha yao. Mimi waliniita MANDINGO, linipofatilia lilikuwa jina la mcheza porno wa kiume😃😃, sababu nilikuwa napenda wasichana sana na...
4 Reactions
24 Replies
448 Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
276 Reactions
431K Replies
20M Views
Ila Q net mnanifanya naishi kama digi digi kwenye mji wa watu 🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥹😭😭. Ndugu zangu mwenye kazi yoyote mwanza naomba Nina hali ngumu sana.
6 Reactions
21 Replies
313 Views
Wanaume sai wanatongoza wanaume bila kujua.yan mwanaume anaweka profile ya kike alaf mwanaume unadata nae. Kwanza facebook na JF...
4 Reactions
58 Replies
525 Views
Siku mgeni akija home kuna ile siku mzazi akijipata mfukoni na pesa ya kinywaji kimoja tu cha mgeni, na kwasababu ana tamani sana kumpokea vizuri mgeni wake, na kumpa chochote kitu, basi soda...
5 Reactions
4 Replies
97 Views
Back
Top Bottom