JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna watu humu ndani ni wataalam sana wa kumwaga like... Sasa kama hujawahi kupewa like na leo dada na raraa reree tafadhali jitathmini sana. Nani wengine unahisi wanafaa kushindana na hawa...
9 Reactions
16 Replies
167 Views
First generation ndio imetoa viongozi wengi sana hasa wa kisiasa na maarufu.. Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF Lakini hapo hapo yakafanyika makosa...
17 Reactions
124 Replies
921 Views
Kuna aina mbili za watu humu JF. Kundi la kwanza linaingia kupambana. Lengo lao ni kushinda hoja, kuthibitisha wako sahihi na kumfanya mpinzani akubali. Halafu kuna kundi la pili... sisi. Sisi...
4 Reactions
16 Replies
195 Views
Mimi: Ladha inanishinda.
8 Reactions
209 Replies
2K Views
Ume peleka gari yako vizuri waoshe umetoka zako umefika dukani kuchukua maji ukirudi una kuta gari yako imegongwa ukiuliza muushaji ana kwambia gari ilipakiwa vibaya kwahy alikuwa ana jaribu...
4 Reactions
35 Replies
360 Views
hawa watu wanaweza ongea neno ukajiuliza mara mbilimbili ni yeye au limetoka kwenye kinywa cha mtu mwingine mtazame sura sasa so innocent lazima atawaacha midomo wazi na kushikilia mbavu Akili...
8 Reactions
29 Replies
410 Views
Kwenye mduara utamkuta amevaa nguo ya kubana na aanze kukatika kiasi kwamba bwana camera na wale wauzuliaji wote wanamgeukia. Kila muda ataaamka atembee tembee mara aende kwa DJ mara vinywaji
3 Reactions
9 Replies
194 Views
Bi mkubwa leo katoa chozi kwa sababu ya pombe zangu, pombe hainiharibii chochote Bi mkubwa hataki kabisa Naaga jamani, mimi mwenyewe chozi limenitoka limenitoka😪😪
7 Reactions
23 Replies
407 Views
Kazi ya mikono ni kulima, kufuga, kujenga, kutengeneza vitu n.k We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
8 Reactions
55 Replies
400 Views
Mwanetu sana Intelligent businessman kimya sana kaka. Kama upo offline it’s alright ila kama umeisoma hi post login ujibu PMs. I know June was bad for us ila naamini tumeuvuka brother.
11 Reactions
46 Replies
828 Views
King Kong III Mandingo secretarybird Moisemusajiografii Kipindi kile mnanunua CD, mnaficha kwenye mabegi yenu mnasubiria baba na mama waondoke ili mkawake kupitia tv chogo ya sharp😁 Mlivyokuwa...
15 Reactions
127 Replies
2K Views
Maisha hayapendi ujinga: Mshahara ukiigia wiki ya kwanza unakula kuku Wiki ya pili unakula zao la kuku (mayai) Wiki ya tatu unaanza kula chakula cha kuku(mahindi, mtama) Wiki ya nne unakuwa kuku...
9 Reactions
23 Replies
345 Views
Wanatech karibuni kwenye uzi wetu mpya ambao utakuwezesha ku'share stori ama tukio lolote unalolikumbuka kipindi unasoma pale tech. Welcome Technical Boys.
4 Reactions
21 Replies
815 Views
Kama jibu lako litamshawishi mtoa ajira au mwenye ajira, jiandae kupata ajira kwa haraka Zaidi. Hakuna haja ya kulala njaa au kulalamika huna kazi, wakati ujuzi wa kuzalisha faida unao. Aya...
3 Reactions
55 Replies
509 Views
Wanaume wa jf mmejaa majigambo tele haya mnameza kumjibu huyu mwenzenu kwa challenge hii: (kwa mtazamo wangu huyu ndio mwanaume huyu hashindwi kunibeba) https://vt.tiktok.com/ZSXrCKy7k/
0 Reactions
2 Replies
91 Views
Nimeamua kuacha pombe kwa maana sijawahi kuona faida yake yoyote kwa sasa vinywaji vyangu vitakuwa ni maji, soda na juice tu.
18 Reactions
129 Replies
1K Views
Wakuu Aisee kuna huyu mwanangu mmoja yeye kila muda anatuma tu reels IG Hakuna kusalimiana wala kupeana updates ila muda wote ni reels, yaani ukifungua IG unakuta hundreds of reels ambazo...
2 Reactions
5 Replies
120 Views
Chokoza member yeyote JF uone reaction?
1 Reactions
33 Replies
303 Views
Katika miondoko ya pwani, wazee wetu husema: "Mwanamke ni siri ya nyumba, siyo dhoruba ya bahari." Lakini unajua maana halisi ya gubu la kike? Ni ile tabia ya mwanamke kugeuza nyumba kuwa uwanja...
16 Reactions
83 Replies
866 Views
Back
Top Bottom