JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dunia ina mwisho kutembea je utumie usafiri gani ufike mwisho wa dunia ndio je kukoje?
0 Reactions
17 Replies
168 Views
Mna pungukiwa nini kufunga profile zenu , au nini kinaongezeka ? Mbona sisi hatufungi na hakuna baya ? Na ni kwamba mna ambizana ama? Maana wamebaki wachache sana karibu na hamna wote mmefunga...
10 Reactions
50 Replies
543 Views
SASA MWALIMU,, WA MATHE MSHAHARA UNAPELEKAGA WAPI MBONA KINYONGE!🤐
8 Reactions
28 Replies
498 Views
Hapa SIPO KISIASA, siasa sizielewi kabisa ni mwiba kwetu walala hoi, tuna piga kelele sote, ila ukifika muda wa kula kila mtu kwao, hapo ndo mbivu na mbichi huonekana. Mnatuacha tukipiga miayo...
8 Reactions
94 Replies
896 Views
Habari wanaJF, Ninaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi". Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako. Mfano: Ualimu Tanzania...
160 Reactions
82K Replies
4M Views
She makes the forum to be on good mood.Her love stories are perfect and amazing.I am always bored when his not around.I like thread she normally posting on the forum.
8 Reactions
66 Replies
496 Views
Karibuni Bia wakuu it's Sunday,
3 Reactions
43 Replies
493 Views
Wakati mwingine najiuliza, mapenzi ya zamani yalikuwa na ladha tofauti au sisi ndiyo tumeharibu maana yake? Angalia Suleiman na wimbo wake Busu zake zinibusu...(Wimbo Ulio Bora 1:2) Nimekupata...
11 Reactions
86 Replies
579 Views
Kichwa kinajieleza mimi napenda sana hadithi sasa kila nikisachi naona!!!! matokeo yanakuja jf"" nimesoma hadithi nyingi sana za UMUGHAKA @ Abdallah king Analyse n.k juzi juzi ndo nika aamua...
4 Reactions
78 Replies
703 Views
Niko tayari kujifunza.
13 Reactions
149 Replies
1K Views
Mzuka wana jamvi ? Kuna wapuuzi humu JF walikuwa wanafananisha jina langu na la ID ya Chizi Maarifa wakati ni majina mawili tofauti yasiyo fanana sasa baada ya kelele zao nimeona nibadilishe jina...
12 Reactions
86 Replies
812 Views
Hivi kuna madhara yoyote mwanamke akishika ujauzito na kuamua kumficha mwanaume bila kuwa na ugomvi au tatizo lolote kati yao, kwa lengo la kumlea mtoto peke yake? Pia, ikiwa mwanaume huyo...
12 Reactions
220 Replies
2K Views
Una mnato (Viscosity)...Yaani ni kupimwa kwa uzito au upinzani wa ugiligili dhidi ya kutiririka. Kwa mfano, asali ina mnato mkubwa kuliko maji.
10 Reactions
104 Replies
821 Views
Raha za pwani zinapokolea Hakuna dari na hawajafungulia mziki kumeza sauti..!
13 Reactions
37 Replies
381 Views
1. Pesa hutibu msongo wa mawazo 2. Pesa hutibu gonjwa la upweke 3. Pesa hutibu punyeto 4. Pesa hutibu vidonda vya tumbo KAMA MDAU UNAUMWA HAYA MAGONJWA TAFTA PESA UTAPONA
7 Reactions
17 Replies
126 Views
Nawaza kufungua biashara ya kuuza vifaa vya mazishi kama sanda, marashi, majeneza, gari za kubebea marehemu na n.k Kwenye hii biashara nataka iwe na mzunguko sana na mauzo mengi. Hapa nitakuwa...
4 Reactions
15 Replies
128 Views
Back
Top Bottom