Kielelezo cha kula kwa ufupi wa kamba
Sample bajeti
Idadi ya mikoa 5
Idadi ya wanufaika kwa mikoa yote ni 100
Viongozi 15 @200,000 = 3,000,000/=
Wasaidizi 50 @100,000 = 5,000,000/=
Vidampa 50...
Waziri katambi cjui kitambi hilo tamko lako la nida hakikisha unawaambia watoa nida walegeze masharti yaan hata bora ya mganga wa kienyeji kuliko hayo ya nida.
Na nina uhakika 50% ya...
Haya hapa ni maana ya emoji zilizopo kwenye picha sc.jpeg, zikiwa zimepangwa mstari kwa mstari kuanzia kushoto kwenda kulia:
Mstari wa Kwanza (Juu)
👍 Kidole gumba juu (Thumbs Up): Inamaanisha...
Watu wengi wanasumbuka kupata majina ya kuwapa watoto wao kutokana na kila jina analofikilia anakuta mtoto wa jilani analo sasa hapa tutaweka majina mazuri" ya watoto Iwe ya kiislam au ya kikriso...
Habari wakuu
Katika pita pita zangu YouTube kuna kitu cha ajabu kinatokea mwenye ufahamu aweke hapa.
Ukisearch video yenye urefu wa kuanzia masaa mawili kwenye PC au kwa kuwasha Desktop site...
Haina haja ya kuishi na mabifu na dharau maisha yenyewe mafup.Leo upo ya kesho hayajulikani.
Tuombane msamaha kwa wote waliopitan na hata kutukanana hapa jukwaani.
Mwanaume mmoja alikuwa na haraka akaamua kuingia choo cha wanawake....
Baada ya kujisadia akaona VITUFE vinne vilivyoandikwa MU, HM, PD na TP...
Kwakuwa hakujua kazi zake akaamua kubonyeza MU...
Samahani wanajamvi,
Kweli kweli nimetamani sana naomba kuunganishwa na Wema Sepetu natamani kumuoa. Nasikia amekosa mtoto mi najua nitafanyaje apate mtoto tena akipata hata mapacha. Mimi nina 29...
Naanza mimi,
Misemo / quotes - nimeona au kusikia maneno ya hekima au sentensi nzuri, najiambia "nitaitumia baadaye", lakini naisahau kabla sijapata nafasi.
Namba ngeni za simu, huwa nasema...
Ukipewa uzima na siha njema mshukuru sana Mungu
Ukiamka huna miadi na tabibu mshukuru sana Mungu
Ukiamka huna kesi polisi mshukuru sana Mungu
Ukiamka una sehemu ya kwenda na ukirudi una sehemu...
Mwanaume anapitia vita kubwa ya kiroho ndani ya nafsi yake, ambapo anapambana kila siku kulinda maadili na imani yake dhidi ya vishawishi vya siri kama tamaa, hofu ya kushindwa, na uraibu😪.
Vita...
He is a very nice guy.. Very charming dude.. But never underestimate him and cross his epic line
Because once aggigated you can't cool him down easily.. It May take dayZ😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.