JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hakuna wakumpinga mwamba huyu ana maunyama mwingi.hakuna mwamba mwingine hapa JF kama yeye truly is the king.
5 Reactions
9 Replies
129 Views
Haya hapa ni maana ya emoji zilizopo kwenye picha sc.jpeg, zikiwa zimepangwa mstari kwa mstari kuanzia kushoto kwenda kulia: Mstari wa Kwanza (Juu) 👍 Kidole gumba juu (Thumbs Up): Inamaanisha...
6 Reactions
29 Replies
292 Views
Watu wengi wanasumbuka kupata majina ya kuwapa watoto wao kutokana na kila jina analofikilia anakuta mtoto wa jilani analo sasa hapa tutaweka majina mazuri" ya watoto Iwe ya kiislam au ya kikriso...
6 Reactions
69 Replies
808 Views
Habari wakuu Katika pita pita zangu YouTube kuna kitu cha ajabu kinatokea mwenye ufahamu aweke hapa. Ukisearch video yenye urefu wa kuanzia masaa mawili kwenye PC au kwa kuwasha Desktop site...
1 Reactions
3 Replies
108 Views
Seran ujue nakuzimia mke !
11 Reactions
300 Replies
3K Views
Haina haja ya kuishi na mabifu na dharau maisha yenyewe mafup.Leo upo ya kesho hayajulikani. Tuombane msamaha kwa wote waliopitan na hata kutukanana hapa jukwaani.
5 Reactions
12 Replies
128 Views
Mwanaume mmoja alikuwa na haraka akaamua kuingia choo cha wanawake.... Baada ya kujisadia akaona VITUFE vinne vilivyoandikwa MU, HM, PD na TP... Kwakuwa hakujua kazi zake akaamua kubonyeza MU...
8 Reactions
30 Replies
479 Views
Samahani wanajamvi, Kweli kweli nimetamani sana naomba kuunganishwa na Wema Sepetu natamani kumuoa. Nasikia amekosa mtoto mi najua nitafanyaje apate mtoto tena akipata hata mapacha. Mimi nina 29...
1 Reactions
58 Replies
8K Views
Naanza mimi, Misemo / quotes - nimeona au kusikia maneno ya hekima au sentensi nzuri, najiambia "nitaitumia baadaye", lakini naisahau kabla sijapata nafasi. Namba ngeni za simu, huwa nasema...
0 Reactions
2 Replies
82 Views
Ukipewa uzima na siha njema mshukuru sana Mungu Ukiamka huna miadi na tabibu mshukuru sana Mungu Ukiamka huna kesi polisi mshukuru sana Mungu Ukiamka una sehemu ya kwenda na ukirudi una sehemu...
37 Reactions
209 Replies
3K Views
Mwanaume anapitia vita kubwa ya kiroho ndani ya nafsi yake, ambapo anapambana kila siku kulinda maadili na imani yake dhidi ya vishawishi vya siri kama tamaa, hofu ya kushindwa, na uraibu😪. Vita...
16 Reactions
32 Replies
321 Views
He is a very nice guy.. Very charming dude.. But never underestimate him and cross his epic line Because once aggigated you can't cool him down easily.. It May take dayZ😂
18 Reactions
92 Replies
887 Views
Wakuu nimemiss hadithi balaa tangu sijajiunga JF nilikua nasoma hadithi nyingi ila sasa sioni hadithi hebu wakuu tafadhalini sana niwekee link uzi wa hadithi yoyo iwe ya kijasusi au ya mapenzi...
7 Reactions
8 Replies
156 Views
Usiku huu, ulimwengu wa roho unashuhudia matembezi makali ya shetani na jeshi lake la mapepo, usiku unaoambatana na dhoruba za kila aina ya uharibifu ambapo mkuu wa giza anajipenyeza kama upepo wa...
18 Reactions
48 Replies
589 Views
Share your memories... Negatively😪💔 OR Positively😍💖 Whatever the cause! Just share..!🔥💪🏿
11 Reactions
127 Replies
879 Views
Rasilimali, fursa, au mazingira yaliyopo yanaweza kutumiwa vibaya au kupuuzwa na watu wasio na maarifa (wajinga), lakini watu wenye akili na busara (werevu) huyatumia hayo hayo kujipatia mafanikio...
13 Reactions
39 Replies
322 Views
  • Redirect
Huu uzi mahsusi kwa wale wanaokosa ucngz kuanzia saa 7 mwisho 12 asubuhi mimi hua nakosaga ucngizi mara kwa mara so nimeamua kufungua huu uz wakuu kwa ajiri ya kuchat na member humu jukwaani japo...
0 Reactions
Replies
Views
Sometimes huwa najiuliza, kwa nn Nature inafeli kufata mkondo wake. Unakutana na jimama au jidada lina mitikasi, identity na personality na kiume kabisa. Kuanzia roho, akili na kiasi cha ujeuri...
2 Reactions
16 Replies
213 Views
Kuna wengine hadi leo yamekolea hadi kuwa sehemu ya maisha yao. Mimi waliniita MANDINGO, linipofatilia lilikuwa jina la mcheza porno wa kiume😃😃, sababu nilikuwa napenda wasichana sana na...
4 Reactions
24 Replies
462 Views
Back
Top Bottom