JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Swali: Kuna vyumba vitatu ambavyo mfungwa analazimika kuchagua kimoja ili kuokoa maisha yake: 1-Chumba cha kwanza: Kimejaa moto mkali unaoungua kila kitu. 2-Chumba cha pili: Kimejaa wauaji wa...
3 Reactions
23 Replies
213 Views
Namshukuru Mungu leo nimetimiza miaka 23. Long may I reign.
12 Reactions
140 Replies
5K Views
Huyu mheshimiwa jamani mi mwenzenu huwa nikianza kumuangalia hata sichoki. Akili yote inahama kabisa yani mi nakuwa nataka tuuuuuuu huyu mheshimiwa jamani. Akiwa anaongea mimi sauti yake na kale...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Naomba aje kwangu kujitambulisha nataka ni mjue,napia ajibu maswali yangu.kwann yeye tu kila thread yumo?
6 Reactions
84 Replies
838 Views
Kuna maamuzi huwa tunachelewa sana kuyafanya au hatuyafanyi kabisa bila kujua kwamba ndio yamebeba hatma ya maisha yetu kwa kiasi kikubwa. The moment ukifanikiwa kuyafanya unajikuta “milango” ya...
2 Reactions
2 Replies
85 Views
Dah aliyewaambia pesa aileti furaha aliwadanganya
19 Reactions
183 Replies
2K Views
Nyie wanaume mnaotafuta trending kwa kutia majina ya watu kwenye mada za kipuuzi, kudadeki 😏 naomba msije mkahusisha jina hili ShesRise_1 kwenye mada za kishamba Mwisho wa siku hata mimi...
27 Reactions
162 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, najua tunapitia mengi ila ni afadhali tunapumua... Unajua hizi siku 90 za JF kupigwa ban na TCRA, Jana nilikaa nikawaza sana… nikasema siwezi kabisa kukaa TZ kimya bila JF...
33 Reactions
183 Replies
6K Views
I have never wore the stuff, the most i've worn is eyeliner and mascara and that is rear. I see women with a face full of the stuff, some even looking like they've been 'tangoed' and I wonder...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Tunatambua changamoto zenu mbalimbali lakini pengine hamna pa kuzisemea Msiwe introvert sana.. Kuna tiba kwenye kuongea .. Ongeeni Story za kawaida Yatokanayo Yasemwayo Ya afya ya mwili Ya afya...
16 Reactions
179 Replies
1K Views
Nilinunua ngombe laki nane, nikamuuza milioni 1. Nikamnunua tena kwa milioni 1.1 nikaja kumuuza tena milioni 1.3, Je kiasi gani nilichotengeneza? 🧠🧠🧠
3 Reactions
30 Replies
533 Views
wanasikia hivi, watu wa Europe, Asia na Marekani 👇🏾
2 Reactions
4 Replies
99 Views
Hakuna aliye dhaifu sote ni wenye nguvu na washindi.Wengi wanakukatisha tamaa kwenye safar yetu ya upambanaj. usitege sikio wala kuwasikiliza wapuzilie mbali maana ukiwasikiliza utajikuta...
2 Reactions
3 Replies
60 Views
Wakubwa kwema? Wakati flani kwenye makuzi yangu kuna Brother mmoja alinidanganyaga kuwa LEGEND Roberto Carlos wakati wake akiwa anakiwasha vizuri kwenye soka kuwa alimwambia Dogo lake akidaka...
5 Reactions
13 Replies
163 Views
Usingizi umekata, muda wa kulala bado, unaenjoy maisha, mawazo, furaha au ni sababu gani inafanya uwe hujalala mpaka sasa hivi? Tupige story kidogo: Rangi gani ya ngozi inakuvutia kwa mpenzi...
12 Reactions
240 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jamii Forums, hususani jukwaa hili la "ChitChat". Ni tumaini langu wote ni wazima. Huu uzi yawezekana ukawa mrefu kuusoma, ila naamini kuna mtu utamsaidia sana endapo atausoma...
11 Reactions
64 Replies
3K Views
Je jina unalotumia JamiiForums limetokana na nini? Why uliamua kujiita hivyo? Binafsi jina nalotumia ni taaluma yangu na kwa sababu naipenda Tanzania likaunga na uzalendo.....
13 Reactions
157 Replies
3K Views
Wakuu, kuna ile ukiwa na pesa ni kama kiwango cha nidhamu ya matumizi huwa kinapotea au kushuka unakuwa unatumia tu. Na baada ya kubaki na kiwango kidogo nidhamu inarudi wakati unasubiri michongo...
12 Reactions
32 Replies
593 Views
Wakuu kwema, Naombeni kuuliza nyie wakishua nataka nipande ndege niende Zanzibar niushtue umasikini kidogo, Kwani lazima niwe na passport au?🤔
7 Reactions
5 Replies
271 Views
Back
Top Bottom