Swali: Kuna vyumba vitatu ambavyo mfungwa analazimika kuchagua kimoja ili kuokoa maisha yake:
1-Chumba cha kwanza: Kimejaa moto mkali unaoungua kila kitu.
2-Chumba cha pili: Kimejaa wauaji wa...
Huyu mheshimiwa jamani mi mwenzenu huwa nikianza kumuangalia hata sichoki.
Akili yote inahama kabisa yani mi nakuwa nataka tuuuuuuu huyu mheshimiwa jamani.
Akiwa anaongea mimi sauti yake na kale...
Kuna maamuzi huwa tunachelewa sana kuyafanya au hatuyafanyi kabisa bila kujua kwamba ndio yamebeba hatma ya maisha yetu kwa kiasi kikubwa.
The moment ukifanikiwa kuyafanya unajikuta “milango” ya...
Nyie wanaume mnaotafuta trending kwa kutia majina ya watu kwenye mada za kipuuzi, kudadeki 😏
naomba msije mkahusisha jina hili ShesRise_1 kwenye mada za kishamba Mwisho wa siku hata mimi...
Wakuu habari zenu, najua tunapitia mengi ila ni afadhali tunapumua...
Unajua hizi siku 90 za JF kupigwa ban na TCRA, Jana nilikaa nikawaza sana… nikasema siwezi kabisa kukaa TZ kimya bila JF...
I have never wore the stuff, the most i've worn is eyeliner and mascara and that is rear.
I see women with a face full of the stuff, some even looking like they've been 'tangoed' and I wonder...
Tunatambua changamoto zenu mbalimbali lakini pengine hamna pa kuzisemea
Msiwe introvert sana.. Kuna tiba kwenye kuongea .. Ongeeni
Story za kawaida
Yatokanayo
Yasemwayo
Ya afya ya mwili
Ya afya...
Hakuna aliye dhaifu sote ni wenye nguvu na washindi.Wengi wanakukatisha tamaa kwenye safar yetu ya upambanaj.
usitege sikio wala kuwasikiliza wapuzilie mbali maana ukiwasikiliza utajikuta...
Wakubwa kwema?
Wakati flani kwenye makuzi yangu kuna Brother mmoja alinidanganyaga kuwa LEGEND Roberto Carlos wakati wake akiwa anakiwasha vizuri kwenye soka kuwa alimwambia Dogo lake akidaka...
Usingizi umekata, muda wa kulala bado, unaenjoy maisha, mawazo, furaha au ni sababu gani inafanya uwe hujalala mpaka sasa hivi?
Tupige story kidogo:
Rangi gani ya ngozi inakuvutia kwa mpenzi...
Habari zenu wana Jamii Forums, hususani jukwaa hili la "ChitChat".
Ni tumaini langu wote ni wazima.
Huu uzi yawezekana ukawa mrefu kuusoma, ila naamini kuna mtu utamsaidia sana endapo atausoma...
Je jina unalotumia JamiiForums limetokana na nini? Why uliamua kujiita hivyo?
Binafsi jina nalotumia ni taaluma yangu na kwa sababu naipenda Tanzania likaunga na uzalendo.....
Wakuu, kuna ile ukiwa na pesa ni kama kiwango cha nidhamu ya matumizi huwa kinapotea au kushuka unakuwa unatumia tu.
Na baada ya kubaki na kiwango kidogo nidhamu inarudi wakati unasubiri michongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.