Mna pungukiwa nini kufunga profile zenu , au nini kinaongezeka ?
Mbona sisi hatufungi na hakuna baya ?
Na ni kwamba mna ambizana ama?
Maana wamebaki wachache sana karibu na hamna wote mmefunga!!
Anyway! jumapili njema.View attachment 3612259
Huyu ni AIKitendo cha wanawake kufunga (ku-disable) 'Private Messages' (PM) kwenye mtandao wa JamiiForums Tanzania ni uamuzi binafsi unaochochewa na sababu mbalimbali kama vile kujilinda na usumbufu, udhalilishaji wa mtandaoni, au faragha. Kitendo hiki mara nyingi huzua mijadala mikali na kuonekana na wengi kama ishara ya uchoyo wa mawasiliano na ubinafsi.
Uko sahihi mkuu nilikuwa nai test kama inafanya kaziHuyu ni AIView attachment 3612264
Maelezo ya AIKitendo cha wanawake kufunga (ku-disable) 'Private Messages' (PM) kwenye mtandao wa JamiiForums Tanzania ni uamuzi binafsi unaochochewa na sababu mbalimbali kama vile kujilinda na usumbufu, udhalilishaji wa mtandaoni, au faragha. Kitendo hiki mara nyingi huzua mijadala mikali na kuonekana na wengi kama ishara ya uchoyo wa mawasiliano na ubinafsi.
Yes akili unde kwenye moja na mbiliMaelezo ya AI
Kila mtu ana maamuzi yake kwenye maisha yake,Mimi sijaona tatizo hapo mkuu! Kama mtu hana sababu ya kuiacha wazi kwanini aiache? Pia kuna wanaume wengi tu wamefunga mbona!
Cc: The Icebreaker
Umesema yote! Ukiwa na shida na mtu mwambie aku pm! Kama ni muhimu atakupm!Kila mtu ana maamuzi yake kwenye maisha yake,
Ukianza kuumia kwa maamuzi ya wengine kwenye maisha yao,basi tambua kua wewe ndio tatizo,
Live the life you love
Love the life you live.
They stole everything here, including the trophy!😔What's going on here....🤔
Let me check.....They stole everything here, including the trophy!😔