ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,625
- 41,918
Wakati mwingine najiuliza, mapenzi ya zamani yalikuwa na ladha tofauti au sisi ndiyo tumeharibu maana yake?
Angalia Suleiman na wimbo wake
Busu zake zinibusu...(Wimbo Ulio Bora 1:2)
Nimekupata yeye ambaye nafsi yangu yampenda (Wimbo Ulio Bora 3:4)
Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu (Wimbo Ulio Bora 6:3)
Ukisoma haya maneno unaona wazi kabisa, mapenzi yalikuwa ni hisia, si mashindano ya nani ana nini
Ila saivi ukileta maneno haya unakua kama unachekesha😅
Unaambiwa usilete maua leta sasampa lol 😆
Lakini leo kabla hata ya kuuliza mtu ana tabia gani, kwanza tunaangalia ana nini. Kabla ya kujua moyo wake ukoje, tunaangalia maisha yake yakoje
Mwanaume before huja m approach mwanamke anaangalia
Mbali na jigijigi nini kingine atapata kwake
Na kwa mwanamke ukitongozwa unaangalia kwanza utanufaika nini kwa huyo Mwanaume
Kuna msemo una sema bora kulia ukiwa kwenye dinga kuliko kulia huku unapuliza moto tena kuni mbichi😅😅 mafua tafrani
Lakini inaonekana zamani watu walipendana kwanza kisha mengine yakafata yenyewe
Hivi ni kweli 👇
Upendo una nguvu kama mauti... maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo.(Wimbo Ulio Bora 8:6-7)
Pesa ni muhimu, hilo halipingiki, lakini zinapochukua nafasi ya hisia, upendo unapoteza ile ladha yake ya kweli
Inawezekana mapenzi hayajaharibika… labda ni sisi tumeanza kuyapima kwa mizani isiyo sahihi
Usiku mwema guys
ShesRise_1 🤚
Angalia Suleiman na wimbo wake
Busu zake zinibusu...(Wimbo Ulio Bora 1:2)
Nimekupata yeye ambaye nafsi yangu yampenda (Wimbo Ulio Bora 3:4)
Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu (Wimbo Ulio Bora 6:3)
Ukisoma haya maneno unaona wazi kabisa, mapenzi yalikuwa ni hisia, si mashindano ya nani ana nini
Ila saivi ukileta maneno haya unakua kama unachekesha😅
Unaambiwa usilete maua leta sasampa lol 😆
Lakini leo kabla hata ya kuuliza mtu ana tabia gani, kwanza tunaangalia ana nini. Kabla ya kujua moyo wake ukoje, tunaangalia maisha yake yakoje
Mwanaume before huja m approach mwanamke anaangalia
Mbali na jigijigi nini kingine atapata kwake
Na kwa mwanamke ukitongozwa unaangalia kwanza utanufaika nini kwa huyo Mwanaume
Kuna msemo una sema bora kulia ukiwa kwenye dinga kuliko kulia huku unapuliza moto tena kuni mbichi😅😅 mafua tafrani
Lakini inaonekana zamani watu walipendana kwanza kisha mengine yakafata yenyewe
Hivi ni kweli 👇
Upendo una nguvu kama mauti... maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo.(Wimbo Ulio Bora 8:6-7)
Pesa ni muhimu, hilo halipingiki, lakini zinapochukua nafasi ya hisia, upendo unapoteza ile ladha yake ya kweli
Inawezekana mapenzi hayajaharibika… labda ni sisi tumeanza kuyapima kwa mizani isiyo sahihi
Usiku mwema guys
ShesRise_1 🤚