Ugiligili wa K (ambao kitabibu unajulikana kama Cerebrospinal Fluid - CSF au ugiligili wa ubongo na uti wa mgongo) unapimwa kupitia utaratibu maalum wa kimatibabu unaoitwa Lumbar Puncture au Spinal Tap.Ugiligili wa K unapimwaje?
Dah! Wewe jamaa 🤣🤣🤣
Archimedes principle Kwa kiswahili " kama kitu kikizama chote au nusu kwenye ugiligili kinapata kani mnyenyuo ambao ni sawa na uzito wa ugiligili uliomwagika"
Mkuu unazungumzia mambo ya Utelezi na minato.Una mnato (Viscosity)...Yaani ni kupimwa kwa uzito au upinzani wa ugiligili dhidi ya kutiririka
nilikimbia umande asee 😪Hujawahi soma Archimedes Principal!?
"Kitu kikizamishwa kwenye ugiligili, kani mnyanyuo hupungua.Mkuu unazungumzia mambo ya Utelezi na minato.
Oil Chafu ina mnato mkubwa kuliko mafuta ya breki.
location ni ipi au mtakua live kwenye television ganiOK
Leo usiku tunaenda kufanya majaribio ya kikemia ya kubadilishana ugiligili." Usikose kufika
🤣🤣 Mzee mwenzangu hiyo ni lugha Tu. kani mnyenyuo=kani inayosukuma juu (upward force aka upthrust)Kanusho la Archimedes linasema kwamba kitu kikizama chote au nusu kwenye ugiligili😂 , kinasukumwa juu na kani mnyenyuo ambayo ni sawa na uzito wa ugiligili uliomwagika au kuondolewa na kitu hicho
sijui ni usingizi mbona hata sielewi
upo mwenye vidole vya miguu😜😅😅😅Tuonyeshe ugiligili wako. 😊
upo mwenye vidole vya miguu😜😅😅😅