JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze...
23 Reactions
99 Replies
2K Views
Wakuu, Nimeshindwa kupata usingizi mpaka muda huu kutokana na ndoto inayonijia kila wakati kuhusu uwepo wangu katika kina cha Mahaba na mtoto wa Kisukuma Valentine. Kinachonishangaza ndoto hii...
2 Reactions
66 Replies
5K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa Legend Mshana Jr Tumtakie heri kwenye siku yake Leo. Older than yesterday, younger than tomorrow. Happy birthday mkuu.
13 Reactions
69 Replies
3K Views
Hawaangalii ukubwa na unene, wanaangalia uzito na kina...!. Usione reli imekonda, ndiyo inayobeba mabehewa makubwa." Kwani kilo ya dhahabu na kilo ya sufi ipi Ina thamani kubwa!?
9 Reactions
56 Replies
709 Views
Utakapofanya kosa la kuvuruga watu au utaratibu mwisho wake maji utaita mma
3 Reactions
7 Replies
139 Views
Wivu mbaya na chuki ya kupitiliza ni sumu kali ya kiroho inayomfanya mtu aanze kufikiria au kutenda mambo ya kishirikina na kijicho. Huu usemi usemao "Wivu ni darasa la mwisho kabla ya kufuzu...
14 Reactions
42 Replies
509 Views
Kuna nyakati nyingi ambazo akili zetu huwaza mambo ya kijinga au yasiyo na mantiki, na hata kutufanya tuyandike au tuyazungumze Hali hii ni ya kawaida kibiolojia na kisaikolojia, lakini pia...
10 Reactions
36 Replies
368 Views
Wana jukwaa nimekuwa kimya mda wa siku kadhaa ni baada ya kuwa nilikuwa nafanyiwa upasuaji ili kutoa sumu ilokuwa mwilini mwangu. Hii ni mara ya pili nafanyiwa upasuaji na namshukuru mungu zote...
10 Reactions
33 Replies
383 Views
Kuna vikaunti vingi vya kike ila mwandiko kabisa wa kiume na muda mwingine wanajisahau kabisa kukaa kwenye cover up yao. I think they are gays, haiwezekani kidume utengeneza akaunti ya kike na...
14 Reactions
33 Replies
398 Views
Utafanyaje utapogundua mwenza wako ni 1. Msagaji 2. Wali nazi? Utafunika kombe mwanaharamu apite ama utachukua maamuzi magumu? Utathubutu kuwaambia watu uhalisia ama utakufa na siri yako?
15 Reactions
166 Replies
2K Views
Wakuu, achaneni na mambo ya siasa na uchumi, njoeni hapa pande za ChitChat tupige story za ukweli. Leo nataka tuongee kuhusu hawa viumbe wa ajabu wanaoitwa "Vibenten" na "Mamarioo." Nitaongea...
16 Reactions
75 Replies
1K Views
Neno "Mshangazi" (au wingi wake "Mishangazi") katika lugha ya mitaani limebeba maana mpya na ya kipekee. Tofauti na maana rasmi ya dada wa baba, neno hili sasa linamaanisha wanawake waliokomaa...
20 Reactions
322 Replies
3K Views
Somo la Leo: HUSUDA Husuda huanza kumla mwenye nayo moyoni. Huleta msongo wa mawazo na sonona. Mhusuda hukonda kwa mafanikio ya wengine.
8 Reactions
58 Replies
440 Views
Wana Arsenal walikuwa wameturingia sana kipind cha kwanza. Ila sasa wanameza tu mate maana kikombe kimewatoka. polen sana Arsenal ss PSG...
1 Reactions
6 Replies
81 Views
Hello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia. Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa...
23 Reactions
472 Replies
20K Views
Anahitajika Single Mama Madam wa chekechea awe na mtoto wake umri mwaka 1 au 2 au 3 Atakabidhiwa kusimamia shule na kupewa sehemu ya kukaa yeye na Mtoto wake Atalipwa salary kwa makubaliano na...
7 Reactions
27 Replies
371 Views
Mko poa wakuu🥰🥰
3 Reactions
22 Replies
259 Views
Nani yupo..nani hayupo..nani kapotea kabisa..nani mwenye udhuru... Mimi list yangu hii hapa ICHANA Asprin NAKWEDE nk Nk Nk Na je kuna ingizo jipya?
11 Reactions
306 Replies
18K Views
Achana na mkeo 2. Nenda ulaya urudi 3. Soma sana 4. Usisome kabisa 5. Jua kuandika 6. Uwe mwongeaji 7. Ujue hotuba za nyerere 8. Hamia mkoa nilioko kwa sasa 9. Usijue soko liko umbali gani 10...
2 Reactions
22 Replies
234 Views
Mmesikia wakuu.
6 Reactions
102 Replies
2K Views
Back
Top Bottom